Sometimes sisi wanaume ni watu wabaya sana, ni wabinafsi sana.
Kuna mshikaji wangu ametembea karibu na ukoo mzima, sijui kwa nini, alianza na binti mdogo, akapitia dada zake na huyo binti wakubwa wawili.
Kisha akashika mama yao mdogo na hao mabinti mwisho akamalizia na shangazi yao.
Wanawake lazima muwe makini, kuwazoesha zoesha ndugu zako wa kike kwa mumeo ni kuwasogeza kwenye mdomo wa mamba.