kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,992
- 3,879
kuwa over 6/6 ndo nini?
Last edited by a moderator:
kuwa over 6/6 ndo nini?
kuwa over 6/6 ndo nini?
Huyo paka mbona ana sura kama ya mtu?
Huyo paka mbona ana sura kama ya mtu?
Eti ni pwaka lol anaongea hasemi nyau!Hahahaha,napita mie.
Kanikera huyo kugawa hobi kijinsia..... Hawa ndo wale akisikia nesi basi anajuwa ni mwanamke..... akisikia sekretari basi mwanamke, akisiki futibola, basi mwanaume..... akisikia dereva basi mwanaume, akisikia .... akisikia....hebu panda kitandani tulale LOL!!!!!!!!!!
ila kila weekend kwenda East African Melody uacheee
hi folks here
nashangaa some men hawapendi football or basketball, hawapend hip hop wao zao taarabu tu! draft ndo kabsa! hv inakuaje inakua man hapend hvo vitu na huwa wanajifeel aje? share me your experience if ur among of them.
your cousin
Ajabu....ndo mana nikapita zanguEti ni pwaka lol anaongea hasemi nyau!
hi folks here
nashangaa some men hawapendi football or basketball, hawapend hip hop wao zao taarabu tu! draft ndo kabsa! hv inakuaje inakua man hapend hvo vitu na huwa wanajifeel aje? share me your experience if ur among of them.
your cousin
binafsi uwezi kunikuta na cheza drafft spendi afu naona mchezo wa mizinguo na ukuda mwingi,kwa wasio na kazi,2,sio big fan wa footbal yani niache kulala na mke wangu nikishe naangalia mpira hadi saa tisa sifanyi kazi hiyo,hip hop kwani ndo mziki wa wanaume mbona kina queen latifa,da brat,eve e,na mademu wengi tu wanaimba.....ila mchezo ninao upenda most ni karetikaa nikisha toka dojo nakuwa so tired
tuko buguruni shuleni.....ulizia cleoMwanangu dojo lenu liko pande zp!!? na mimi nije kujikumbusha enzi zangu napiga mawashi geri sitini kwa dakika....
tuko buguruni shuleni.....ulizia cleo