Mwanaume halisi hatukutegemei uyafanye haya

Mwanaume halisi hatukutegemei uyafanye haya

mtoa mada ni mzinguaji,mwanaume wa kweli hatumii mafumbo kama "gasho" huwa anapasuka kwa hoja live bila chenga

We mwenyewe mbona unatumia mafumbo, ama sio mwanaume wa kweli? Utasemaje 'gasho'" ndo nini hiyo, sema SHOGA tena kwa herufi kubwa ili kila mtu ajue wewe ni mwanaume wa kweli.
 
Tafadhari @moderators, kuna uzi kama huu ulishawahi kuwepo humu jukwaani, unazungumzia mwanaume wa kweli.
 
Hahahahaaaaa waambie haoo ,baby naomba Hela yaani cna kabisa hata cjui itakuaje mwenyewe cna hata yakula Leo??????
 
Naomba nitume salamu hizi kwa K 4 LIFE
 
Last edited by a moderator:
Haaaalo....jaaamani namba 7 imenikuna shostizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom