mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,513
#7.hakyamungu tena yaan mwanaume anayeshabikia chama cha madela huwa simuelewi!!
aisee!, kwaiyo, chama kile kuna kina mama zaidi wakipiga umbea.
inakuaje kwenye mzania huu mtu anaposhabikia prof. muongo, chenge au asiye muadilifu yoyote hata kama kahama chama kwenye macho ya watanzania?
Yaan umepika pilau vizuri kisha ukatia chembe ya kinyesi. Yaan hiyo namba 7 usengeiweka, maana ndo imetia doa thread nzima. But apart from that lilikua bonge la thread.
Wanaume Feki hujidai kupanga orodha ya wanaume Halisi daima.
Uanaume wako hatuupimii kiivo.. Ina faida gani ukawa na vyote alafu
1.Humjui Mungu
2.Humridhishi mkeo/mchumba ktk mambo tofauti tofauti
3.Huna uwezo Wa kuzalisha?
4.Upo Upo kisengerema sengerema tu?
Wanaume Feki hujidai kupanga orodha ya wanaume Halisi daima.
Uanaume wako hatuupimii kiivo.. Ina faida gani ukawa na vyote alafu
1.Humjui Mungu
2.Humridhishi mkeo/mchumba ktk mambo tofauti tofauti
3.Huna uwezo Wa kuzalisha?
4.Upo Upo kisengerema sengerema tu?
Kumjua mungu ndio unakua mwanaume halisi?
Tusiomjua kwa hiyo sio wanaume halisi?
mwanaume wa kweli haongei mipasho kama ulivyoongea kwenye no 7, funguka tukuelewe acha taarabu dada
mtoa mada ni mzinguaji,mwanaume wa kweli hatumii mafumbo kama "gasho" huwa anapasuka kwa hoja live bila chenga