Mwanaume hakuna wa kukuoakoa

Mwanaume hakuna wa kukuoakoa

hamza mahundu

Member
Joined
Dec 20, 2018
Posts
65
Reaction score
118
Mwanaume Sikiliza:

》Kwenye ajali ya meli ya Titanic iliyozama waliookolewa wengi walikuwa ni wanawake!

》Yaani zaidi ya 74% ya wanawake waliokolewa

》Watoto Zaidi ya 52% na wote waliokuwa daraja la 1 & 2 wote wakiokolewa na kuendelea kupiga matonge ya ugali kama kawaida.

》Ila kwa wanaume sasa ndiyo kimbembe, yaani kati ya vifo vyote 1,517 wengi walikufa ni wanaume ambao ni zaidi ya wanaume 1,347 bila kuweka wahudumu wa meli.

Ni kama 16% mpaka 20% tu ya wanaume wote ndiyo waliookolewa.

》Ni vizuri mwanaume kujua mapema kwamba hayupo anayekuja kukuokoa.

Wanaookolewa ni wanawake na watoto.

✧ Wewe unawajibika kwa 💯% na maisha yako.

✧ Uhalisia wa mambo utafuata matendo yako.

✧Acha kulalamika kwamba mambo hayako sawa. Wewe ndiyo unayehusika kuyaweka sawa.

✧ Ikitokea mtu kakushika mkono usidhani ni ujanja wako, huyo ni malaika katumwa. Mshukuru Mungu!

✧Pambana mpaka tone la mwisho bila kukata tamaa.

Ipo Siku Mengi Yatabaki Kuwa Historia.
 
Mwanaume Sikiliza:

》Kwenye ajali ya meli ya Titanic iliyozama waliookolewa wengi walikuwa ni wanawake!

》Yaani zaidi ya 74% ya wanawake waliokolewa

》Watoto Zaidi ya 52% na wote waliokuwa daraja la 1 & 2 wote wakiokolewa na kuendelea kupiga matonge ya ugali kama kawaida.

》Ila kwa wanaume sasa ndiyo kimbembe, yaani kati ya vifo vyote 1,517 wengi walikufa ni wanaume ambao ni zaidi ya wanaume 1,347 bila kuweka wahudumu wa meli.

Ni kama 16% mpaka 20% tu ya wanaume wote ndiyo waliookolewa.

》Ni vizuri mwanaume kujua mapema kwamba hayupo anayekuja kukuokoa.

Wanaookolewa ni wanawake na watoto.

✧ Wewe unawajibika kwa 💯% na maisha yako.

✧ Uhalisia wa mambo utafuata matendo yako.

✧Acha kulalamika kwamba mambo hayako sawa. Wewe ndiyo unayehusika kuyaweka sawa.

✧ Ikitokea mtu kakushika mkono usidhani ni ujanja wako, huyo ni malaika katumwa. Mshukuru Mungu!

✧Pambana mpaka tone la mwisho bila kukata tamaa.

Ipo Siku Mengi Yatabaki Kuwa Historia.
Hata yesu hawezi?
 
Mwanaume Sikiliza:

》Kwenye ajali ya meli ya Titanic iliyozama waliookolewa wengi walikuwa ni wanawake!

》Yaani zaidi ya 74% ya wanawake waliokolewa

》Watoto Zaidi ya 52% na wote waliokuwa daraja la 1 & 2 wote wakiokolewa na kuendelea kupiga matonge ya ugali kama kawaida.

》Ila kwa wanaume sasa ndiyo kimbembe, yaani kati ya vifo vyote 1,517 wengi walikufa ni wanaume ambao ni zaidi ya wanaume 1,347 bila kuweka wahudumu wa meli.

Ni kama 16% mpaka 20% tu ya wanaume wote ndiyo waliookolewa.

》Ni vizuri mwanaume kujua mapema kwamba hayupo anayekuja kukuokoa.

Wanaookolewa ni wanawake na watoto.

✧ Wewe unawajibika kwa 💯% na maisha yako.

✧ Uhalisia wa mambo utafuata matendo yako.

✧Acha kulalamika kwamba mambo hayako sawa. Wewe ndiyo unayehusika kuyaweka sawa.

✧ Ikitokea mtu kakushika mkono usidhani ni ujanja wako, huyo ni malaika katumwa. Mshukuru Mungu!

✧Pambana mpaka tone la mwisho bila kukata tamaa.

Ipo Siku Mengi Yatabaki Kuwa Historia.
Naunga mkono hoja
 
Ikitokea mtu kakushika mkono,huyo ni Malaika sio nguvu zako....

I like this phrase

Good people are still existing,where and how you can find them God Knows.
 
Back
Top Bottom