Mwanaume hafai kupenda ulaini!!

Kaka maasai

Member
Joined
Jul 26, 2026
Posts
84
Reaction score
198
Ulaini ndiyo chanzo cha kuwa choko\mchicha mwiba.mwanaume haufai hata ujiangalie kwa kioo. kaa kibishi mwanaume ameumbiwa magumu.mwanaume haufai uchague mishe. mungu awasaidie wanaume na majaribu yote awape nguvu.wanaume sisi ni washindi usikubali kamwe kushindwa.
 
Hayo ni yakwako wewe na njaa zako,sisi watoto wa Ushuani hatuna ujinga huo,mwendo wa bata tu.
-Kama upo kwenye kizazi cha laana,kitakuuwa,njaa mpaka unazikwa,zako buku 5,10....
 
Mawazo ya kimaskini tz, anata ku normalize shida kwa mwanaume akiamini ndio sifa how pathetic
 
Mleta mada akiwa anatoka kwenu kila siku wewe ni kulia tu!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…