Mwanaume fahamu haya

Mwanaume fahamu haya

cutelove

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
3,586
Reaction score
8,386
Wanaume wengi wamekuwa na maswali juu ya sisi wanawake kuwa huwa tunataka nini kwenye mahusiano na huku kila kitu tunapata

Ukifanya haya hutasikia tunalalamika

Moja,mjali mwanamke..hata kama una kipato kidogo mjali,mnunulie vizawadi vidogo vidogo na mpe fedha ya matumizi kulingana na uwezo wako,,kama unaingiza elfu 30 kwa wiki nawe ukawa unampa elfu 5 sio mbaya

Mbili,Kuwa mwaminifu,epuka kucheat au kumfanyia hadharani,jitahidi sana asijue kuwa una mwanamke mwingine

Tatu,mburudishe,mpe raha ambayo hajawahi kupata popote pale muwapo faragha,hakikisha anafurahia kila wakati maeneo hayo maana ndicho kiunganishi chenu cha mahusiano

Ukifanya haya hutasikia tunalalamika,na kama tumegombana kiasi gani siwezi nikakuacha,na ukiniacha nitachanganyikiwa
 
Unakuta mwanamke kukupa tamu yake hadi mgombane kwanza.. halafu unategemea nitamjali
No,ndo maana nimesema kama 6×6 uko fresh hutasikia ukinitafufa mimi ndo nakuwa nakutafuta lakini kama sehemu hiyo hauna viwango ndo hali hiyo hutokea maana najua nakupa tu lakini I'm not enjoyed
 
Back
Top Bottom