Ilitarakimura
JF-Expert Member
- Feb 7, 2016
- 2,505
- 1,661
Mkuu umesema kwel lakin nasikitika kichwa cha habari na yaliyomo ni tofaut.Ndugu,
Nawashauri kwa wale ambao mnategemea kua na mahusiano ya kudumu.Epuka mwanamke mvivu anayeshinda anaangalia TV na kuchati.
Mwanamke anatakiwa awe na vijimiradi au vyanzo vya hela. Kumbuka kuna kifo na hatujui atakaetangulia.
Je mwanaume ukatangulia ni nani atawalea hao watoto? Japo kuna mila zingine zinadai mwanamke pambo la nyumba, lakini kwa sasa zimepitwa na wakati.
Mwanaume epuka mwanamke goal keeper.
uko vizuri sana upstairs.Mkuu unajua wanaume wengi hua hawapendi wake zao wafanye kazi sababu wanakua na mawazo mengi au kwa wanayo yaona maofisini, mimi binafsi mume wangu hataki nifanye kazi wakati alikunikuta nafanya kazi,nikamwambia tuna watoto kuna leo nakesho,sipendi nilie mumewangu umeniachia watoto ntawaleaje ila nataka nilie sitompata mume kama wewe
ikiwa utatangulia wewe na nikitangulia mimi basi uitakua nimekusaidia japo kidogo kwenye maisha japo kusomesha watoto
lakini kuna siku anaamka kwani lazima uende kazini? hawajua kama una familia sasa haya mambo mkuu ni kila mtu anavyo lichukulia kwenye mawazo yake lakini mimi nakubaliana na wewe kua maisha nikusaidiana na kama mke hana uwezo wakufanya hata biashara basi hata akilea watoto pia nayo sio kazi ndogo..
kuliwa ataliwa hata akiwa nyumbaniSiku ukisikia analiwa na boss wake au wafanyabiashara wenzake ndio utajua nini maana ya mama wa nyumbani..ila kiufupi suala la mapenzi na mahusiano ni pasua kichwa mana hayanaga formulas
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupata sheikhe wanguNachosisitiza usimtengenezee mwanamke mazingira ya kuchepuka..bora akae nyumbani alee watoto..we mwanaume kazi yako nini sasa..kama una mruhusu na mkeo akatafute.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ukweli flani kwenye psychology wanasema ili kuwa na afya njema usiwe masikini na ikitokea ukiwa masikini usiwe katika hiyo hali kwa muda mrefu
Kuna mwanamke hata ukisema uamke leo umpe milioni ataenda kununua mawigi na kokoko avae
Nachosisitiza usimtengenezee mwanamke mazingira ya kuchepuka..bora akae nyumbani alee watoto..we mwanaume kazi yako nini sasa..kama una mruhusu na mkeo akatafute.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naishi kama malkia mkuusawa vidume kazi yetu kufaiti maisha yawe bora siku baada ya siku hatukwepi majukumu yetu,ila hapo kwenye mke aishi kama malkia tuanze na wewe kwanza unaishi kama malkia?
Ahahahha eti kokokoKuna mwanamke hata ukisema uamke leo umpe milioni ataenda kununua mawigi na kokoko avae
Naww si unapenda hizo vituwallah umenichekesha mkuu et kokoko!
Hata kama wangejua wanasimamia nini bado chaguzi za Africa na especially East Africa ni kichefuchefu (mbaya) kabisa.Wale they are moved by people and not ideas, wanamuunga mkono Kenyata kisa tu eti Raila ni rafiki ya Magufuli, nyie CHADEMA, hamjui kuwa Uhuru na Raila watapita tu? Yaani nyie kamwe hamtakaa mtawale Tanzania maana hamjui hata mnasimamia nini? Jirekebisheni.
teh ..teh ..hongera sana mkuu bila shaka shem anaishi kama willy gamba maana bila hivyo hautaweza kuishi kama malkia maisha haya ya kusoma digits.Naishi kama malkia mkuu
Kila mtu apambane na hali yake mkuuteh ..teh ..hongera sana mkuu bila shaka shem anaishi kama willy gamba maana bila hivyo hautaweza kuishi kama malkia maisha haya ya kusoma digits.