We na huyo mwenzio mnaoleta hoja ya baba mnachanganya madawa. Nitakupa mfano rahisi tu, unaweza kuwa na rafiki yako mmetoka mbali sana ambaye wewe unamuamini kwa 100%, hiyo haitamaanisha kwamba watu wote wanamuamini Kama wewe. Kwahiyo basi suala la kuwepo watu wasiomuamini rafiki halikuzuii wewe kumuamini.kipengere namba 3 ibara na Aya ya kwanza
Hapo nimeshindwa kuelewa rafiki
"USIMWAMINI MWANAMKE" mwamini tu mama yako 100%
hahah sasa mama yako nae si ni mke wa mtu
coz mumewe tu hamwamini
sembuse wewe!
kama inshu ni kuamini mwanamke kwamba kila mwanamme asimwamini mke au mpenzi au mchumba basi
hata huyo mama yako unaemwamini 100%
kumbuka nae ni MKe wa mtu (baba yako)
hivyo mumewe (baba yako) hamwamini mke wake (mama yako)
je wewe ni nani hata umwamini hizo tena 100%???
hahaha nadhani swala la uaminifu tuliache tu hiyo ni personal sana
individuality
Tukirudi kwa mama yako, yule unamuamini kwa sababu ni mama yako. Mama yako anaweza kukubali kuumia kwa sababu yako kwa sababu alikuzaa tofauti na baba yako ambaye hana undugu naye. Kumbuka baba yako naye ana mama yake, hivyo basi na yeye atamuamini mama yake.
Ila nimegundua wabongo wengi tuna shida kubwa sana ya kureason logically!