tatizo mwanamke hatafuti. mambo ya kuachshwa kazi ni ya kawaida sio tz bali duniani kote. ila dunia ya sasa watu hawana mashamba kama zamani kuwa mchicha ukihitajika unaambiwa kaokoteze shambani,mahindi yako ndani,maharage yako, na alizeti iko mkitaka mafuta . sasa ni hapana hizo basic zinahitaji pesa, mwanamke anatakiwa kufanya kazi/biashara ya kipato na mwanaume hivyi hivyo akikusa mmoja mwingine anaendelea angali mwingine anatafuta sehemu mpya ya kujishika. kazi kama afisa utumishi usitegemee kujiajiri au upate kazi fasta inahitaji muda.