Mwanaume anapokuwa mmbea na tabia za kike...

Mwanaume anapokuwa mmbea na tabia za kike...

mwanawao

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2010
Posts
3,222
Reaction score
5,890
Hv wanaume wanapokuwa na tabia za kimbea fulani kafanya hv m, mama j alipigwa jana, unajua baba G alifumaniwa jana n.k n.k.

Hv huyu boyfriend au mumeo unaweza sema upo na mwanaume ndani kweli! Jamani wanaume tabia za kimbea waachiwe wanawake bana khaaaaa....
 
Hv wanaume wanapokuwa na tabia za kimbea fulani kafanya hv m, mama j alipigwa jana, unajua baba G alifumaniwa jana n.k n.k.

Hv huyu boyfriend au mumeo unaweza sema upo na mwanaume ndani kweli! Jamani wanaume tabia za kimbea waachiwe wanawake bana khaaaaa....

Mwanamme mbea ujue anapakuliwa tu
 
Mtaongea sana umbea wa mtu unakuumia nini au kuhusu nini hii ni freedom expression kila mtu anaishi atakavyo sio utakavo dude ndo maana ya jukwaa think big
 
Mtaongea sana umbea wa mtu unakuumia nini au kuhusu nini hii ni freedom expression kila mtu anaishi atakavyo sio utakavo dude ndo maana ya jukwaa think big

Hapana unapoona mwenzio anatoka kwenye mstari lazima arudishwe awe kama mwanaume na siyo kama mwanamke.
 
Mwanamme mbea ujue anapakuliwa tu

Hapo umenena mkuu, wengine hata kama bado hawajaingia hilo kundi ndiko wanakoelekea ni vyema wakajitadhimini na kurudi kwenye mstari..
 
Hapo umenena mkuu, wengine hata kama bado hawajaingia hilo kundi ndiko wanakoelekea ni vyema wakajitadhimini na kurudi kwenye mstari..

Binafsi nilijaribu sana kuongea humu, kwa nia njema lakini nliyaoga matusi toka kwa mwanaume mmbea.si vema hata kidogo kwa mwanaume kushadadia mambo ya kike kiasi Watu wawe na shaka na jinsia yako.
 
Back
Top Bottom