Mwanaume anapokuwa Irresponsible, nini anategemea?

Ajiandae kupata msaada kwenye tuta...kina mama wakiwezeshwa wanaweza, shauri yake!
 
sawa yote 9, chamsingi msitoe msaada wowote, mkiona bado hataki kuwajibika na family yake, mchukueni dada yenu mpeni mtaji afanye biashara zake, alishe watoto,na kuwasomesha, aachane na huyo bwana. Ml 20 tu zinamtosha hata wasumbua tena ji changeni mumuokoe dada yenu.
 

...wanajuana hao, waachie na nyumba yao....maisha yote mpaka wanapata watoto wawili,
leo hii ndio alalame?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…