Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,573
Walioangalia No retreat, No surrender je?
Are you virgin?Shao Po Lang (SPL )
Okopa sana muvi jambazi akiwa Sammo hong...mzee anajua kuvaa uhusika wa kimafia hatari.
Atakae weza afungue uzi tuje tujadili muvi za wachina Toka enzi za Akina Stephen chang hadi Jet Li then hadi huku kwa akina yuen biao. Chini ya baba lao Yuen woo ping
Vipi umeangalia millionaire express..?mkuu mimi huwa sipo vizuri kwenye kuandika,pia majina ya movies nasahau sana,wheels on meals nimeiona ngoja niangalie hiyo millionaires express usiku huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa muvi za hvo nimecheki kibao. Nyingi sana daah.Hiyo movie naikumbuka vizuri sana, nakumbuka katika list zake za mtindo huo kuna moja hivi inaitwa "shaolin VS lama" nilikua napenda kuiita "shaolin visa vya lama"
Kuna mikebe humo yani sio kinyonge
Huyu mwamba kwenye muvi zake hukosi scene ya kudinyanaSasa muvi za hvo nimecheki kibao. Nyingi sana daah.
Akina Alexander lou
Anzisheni uzi sasa tuje tuchangie kuhusu Chinese Cinemas. Maana ninamengi😊😊
Nataka nikupe muvi moja moja ya hao watu natumai utapenda sana
Anza na Millionaires Express au Wheel On meals (jina ni hilo ila nahisi nimegeuza maneno)
Kwann umehisi hvi..?
Halafu Jack chan akalitekenya right??Hii ndo ile movie Jackie Chan alimsalimia Nigga fln pande la mtu mambo yakawa hivi..
Jackie Chan: What's up my nigga?
Nigga(pande la mtu) : What did you say???
Jackie Chan (akisita sita akihofia amekosea matamshi):. WH..AT..UP M..Y NI..GGA
😆😆😆lijamaa lilimkaba manusura Jackie Chan akate moto
Mambo mtoto mzuri?
Je nipunguze au niendelee