Mwanaume aliye serious

Mwanaume aliye serious

Kama uko makini weka picha yako.....!! Wadau waweze kufanya tathmini...
 
Twende zetu makutano junction (pm) tumalize biashara mtu mwenye shida na bidhaa hana longolongo..!
 
Hii tabia mbaya ya wewe mtetea kutukimbiza sisi majogoo umeianza lini eti?....ehh?
 
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 27 nahitaji mwanaume wa kuishi nae mimi, nipo serious, maelezo zaidi ni pm tuzungumze kuhusu dini, na kazi na ninapoishi, kejeli pembeni.
Bila picha hata unafikiri inanoga mkuu
 
Kila la kheri shosti na hongera kwa ujasiri utampata soon
 
Kasema wa kuishi naye mkuu yani nimeipenda hii nshawahi pm maana bahati kama hizi haziji mara mbili.
Akina amina wao wanataka wa kuwaoa.
Hahaaa mkuu kumbe nilikuwa nakukimbizia ndege wako, nisamehe mkuu🙁🙁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom