Mwanasheria wa TAKUKURU: Rushwa mahakama ya Kisutu inatisha

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
16,515
28,504
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imelalamikiwa kuwa inaendekeza vitendo vya rushwa katika utoaji haki.

Akizungumza baada ya kuachiliwa huru Williamu Mhando aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, Leornaed Swai Mwanasheria wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) amesema kuwa rushwa katika mahakama ya Kisutu inatisha.

Swai ametoa tuhuma hizo baada ya Hakim Hellen Liwa kusoma hukumu kwa niaba ya Kyey Rusema ambapo iliamriwa kuwa mahakama imemuona Mhando hana hatia.

Mahakamaa imeeleza kuwa hakuna ushahidi ilionyesha kuwa Mhando alitumia madaraka yake vibaya kutokana na mkataba wa TANESCO kuipa zabuni ya mkewe kampuni ya Santa Clara, na pia yeye hakuhusika kwenye kutoa zabuni kwa kuwa zabuni hutelewa na bodi ya zabuni.


Source: Mwanahalisi
 
Watu waache mizuka!! Warudi kwenye uhalisia!! PCCB wasitafute publicity za kitoto hivi!! Nani asiyejua kesi nyingi ziendazo mahakamani toka PCCB hushindwa? PCCB wapo weak mno kwenye eneo la ushahidi!! Hilo lipo sana ndio maana wanaangushwa kwenye kesi nyingi sana!!

Waache visingizio wajikite ktk ethics na weledi vinginevyo watabwagwa kila siku....

Then hizo tuhuma kwa chombo kama mahakama ambacho bado watakitumia kwa kesi nyingine si nzuri!! Busara ni bora kuliko fedha na hekima ni bora zaidi kuliko dhahabu!!
 
Mahakamani si kituo cha polisi . Valentino Mlowola fukuza kazi huyo mwanasheria wako feki. Mahakamani vitu vyote viko wazi ,kinachotokea ni kuzidiana hoja tu. Akiona hajaridhika rufaa iko wazi aende aache kuidhalilisha taaluma ya wanasheria.
 
Watu waache mizuka!! Warudi kwenye uhalisia!! PCCB wasitafute publicity za kitoto hivi!! Nani asiyejua kesi nyingi ziendazo mahakamani toka PCCB hushindwa? PCCB wapo weak mno kwenye eneo la ushahidi!! Hilo lipo sana ndio maana wanaangushwa kwenye kesi nyingi sana!!

Waache visingizio wajikite ktk ethics na weledi vinginevyo watabwagwa kila siku....

Then hizo tuhuma kwa chombo kama mahakama ambacho bado watakitumia kwa kesi nyingine si nzuri!! Busara ni bora kuliko fedha na hekima ni bora zaidi kuliko dhahabu!!
Halafu eti naye analalamika badala ya kuchukua hatua
 
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imelalamikiwa kuwa inaendekeza vitendo vya rushwa katika utoaji haki.

Akizungumza baada ya kuachiliwa huru Williamu Mhando aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Leornaed Swai Mwanasheria wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru) amesema kuwa rushwa katika mahakama ya Kisutu inatisha.

Swai ametoa tuhuma hizo baada ya Hakim Hellen Liwa kusoma hukumu kwa niaba ya Kyey Rusema ambapo iliamriwa kuwa mahakama imemuona Mhando hana hatia.

Mahakamaa imeeleza kuwa hakuna ushahidi ilionyesha kuwa Mhando alitumia madaraka yake vibaya kutokana na mkataba wa Tanesco kuipa zabuni ya mkewe kampuni ya Santa Clara, na pia yeye hakuhusika kwenye kutoa zabuni kwa kuwa zabuni hutelewa na bodi ya zabuni.

Source: Mwanahalisi
Takukuru wafanye kazi yao kwani hao mahakimu si wanatakiwa kushughulikiwa na hao takukuru kwanini analalamika tena.
 
kushinda au kushindwa kesi sio ndo kama una au huna haki la itategemeana na uwashirishwaji wa tuhuma na technicality za kuendeshea kesi ukikosea kwenye technical sidhani kama unaweza shinda kesi ndo maana wanasheria wanacheza eneo hili
 
Maana yake ameshindwa kuwakamata hao mahakimu anaowalalamikia kuwa ni wala rushwa
 
Kwanini usimkamate Hakimu kama unaona kuna rushwa tena Mwanasheria anatakiwa kuwa na ushahidi...sio kulalama tu kama layman huo ni uendelezaji wa ubabaishaji
 
Watu waache mizuka!! Warudi kwenye uhalisia!! PCCB wasitafute publicity za kitoto hivi!! Nani asiyejua kesi nyingi ziendazo mahakamani toka PCCB hushindwa? PCCB wapo weak mno kwenye eneo la ushahidi!! Hilo lipo sana ndio maana wanaangushwa kwenye kesi nyingi sana!!

Waache visingizio wajikite ktk ethics na weledi vinginevyo watabwagwa kila siku....

Then hizo tuhuma kwa chombo kama mahakama ambacho bado watakitumia kwa kesi nyingine si nzuri!! Busara ni bora kuliko fedha na hekima ni bora zaidi kuliko dhahabu!!
Hapana, Hata kama PCCB wameshindwa kuthibitisha, bado hiyo kampuni ilikuwa na kitapeli na huyo mwenye kampuni angeweza kufunguliwa kesi ya utapeli.

Nakumbuka mwanzo wa sakata hilo, kampuni ilionekana kuwa na wakurugenzi ambao walikuwa ni majina ya watoto wadogo kabisa ambao hawawezi kuunda kampuni, tena watoto wake! Kampuni gani ya aina hiyo? Na kwa hali hiyo lazima Mhando alifahamu kwa sababu hiyo ni familia yake. Sihitaji kusoma sheria kuona makosa kama hayo.
 
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imelalamikiwa kuwa inaendekeza vitendo vya rushwa katika utoaji haki.

Akizungumza baada ya kuachiliwa huru Williamu Mhando aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Leornaed Swai Mwanasheria wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru) amesema kuwa rushwa katika mahakama ya Kisutu inatisha.

Swai ametoa tuhuma hizo baada ya Hakim Hellen Liwa kusoma hukumu kwa niaba ya Kyey Rusema ambapo iliamriwa kuwa mahakama imemuona Mhando hana hatia.

Mahakamaa imeeleza kuwa hakuna ushahidi ilionyesha kuwa Mhando alitumia madaraka yake vibaya kutokana na mkataba wa Tanesco kuipa zabuni ya mkewe kampuni ya Santa Clara, na pia yeye hakuhusika kwenye kutoa zabuni kwa kuwa zabuni hutelewa na bodi ya zabuni.

Source: Mwanahalisi
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imelalamikiwa kuwa inaendekeza vitendo vya rushwa katika utoaji haki.

Akizungumza baada ya kuachiliwa huru Williamu Mhando aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Leornaed Swai Mwanasheria wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru) amesema kuwa rushwa katika mahakama ya Kisutu inatisha.

Swai ametoa tuhuma hizo baada ya Hakim Hellen Liwa kusoma hukumu kwa niaba ya Kyey Rusema ambapo iliamriwa kuwa mahakama imemuona Mhando hana hatia.

Mahakamaa imeeleza kuwa hakuna ushahidi ilionyesha kuwa Mhando alitumia madaraka yake vibaya kutokana na mkataba wa Tanesco kuipa zabuni ya mkewe kampuni ya Santa Clara, na pia yeye hakuhusika kwenye kutoa zabuni kwa kuwa zabuni hutelewa na bodi ya zabuni.

Source: Mwanahalisi
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imelalamikiwa kuwa inaendekeza vitendo vya rushwa katika utoaji haki.

Akizungumza baada ya kuachiliwa huru Williamu Mhando aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Leornaed Swai Mwanasheria wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru) amesema kuwa rushwa katika mahakama ya Kisutu inatisha.

Swai ametoa tuhuma hizo baada ya Hakim Hellen Liwa kusoma hukumu kwa niaba ya Kyey Rusema ambapo iliamriwa kuwa mahakama imemuona Mhando hana hatia.

Mahakamaa imeeleza kuwa hakuna ushahidi ilionyesha kuwa Mhando alitumia madaraka yake vibaya kutokana na mkataba wa Tanesco kuipa zabuni ya mkewe kampuni ya Santa Clara, na pia yeye hakuhusika kwenye kutoa zabuni kwa kuwa zabuni hutelewa na bodi ya zabuni.

Source: Mwanahalisi
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imelalamikiwa kuwa inaendekeza vitendo vya rushwa katika utoaji haki.

Akizungumza baada ya kuachiliwa huru Williamu Mhando aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Leornaed Swai Mwanasheria wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru) amesema kuwa rushwa katika mahakama ya Kisutu inatisha.

Swai ametoa tuhuma hizo baada ya Hakim Hellen Liwa kusoma hukumu kwa niaba ya Kyey Rusema ambapo iliamriwa kuwa mahakama imemuona Mhando hana hatia.

Mahakamaa imeeleza kuwa hakuna ushahidi ilionyesha kuwa Mhando alitumia madaraka yake vibaya kutokana na mkataba wa Tanesco kuipa zabuni ya mkewe kampuni ya Santa Clara, na pia yeye hakuhusika kwenye kutoa zabuni kwa kuwa zabuni hutelewa na bodi ya zabuni.

Source: Mwanahalisi
huyo mwanasheria bado yupo kazini??mwanasheria wa kupambana na rushwa analalamika mahakamani kuna.rushwa???kwa iyo anathibitisha takukuru wameshindwa vita ya rushwa??
 
Back
Top Bottom