Mwanasheria Mkuu, Dr. Adelardus Kilangi tupe ufafanuzi kuhusu mgogoro wa Tanzania na Malawi kuhusu Ziwa Nyasa

Sokoro waito

JF-Expert Member
Nov 21, 2014
2,201
2,587
Heshima kwako Mwalimu wangu wa Logic and reasoning(AG, DR. KILANGI).

Ninajua una majukumu mengi lakini usisite kutolea ufafanuzi suala hili la jinsi ya kumaliza mgogoro wa umiliki wa Ziwa Nyasa.

Tumesikia mengi sana kuhusu mgogoro wa umiliki wa ziwa Nyasa kati ya Tz na Malawi.

Hata hivyo kwa bahati mbaya hakuna machapisho ya kutosha hapa nchini yanayohusu ukweli wa nani mmiliki halali wa Ziwa Nyasa(hatakama yapo basi yanapatikana kwa uchache).

Malawi wanaendelea kushika msimamo wao kuwa ziwa Nyasa ni mali yao kwa kutumia sheria ya Heligoland Treaty iliyosainiwa 1 July, 1890 na mataifa ya Uingereza na Jermani wakati huo wakitawala Malawi na Tz kama makoloni yao.

Hatahivyo tangu mwaka 1960 kabla ya uhuru Tanganyika haikuwahi kukataa kuwa ziwa Nyasa ni mali ya Malawi, ushahidi kuhusu hili ni pale Mwalimu Julius K. Nyerere aliposema maneno yafuatayo kwenye kikao cha Tanganyika legislative Council,

"'we know that not a drop of water of the water of Lake Nyasa belongs to Tanganyika under the terms of agreement so that in actual fact, we would be asking a neighbouring government . . . . To change the boundary in favour of Tanganyika"

Sambamba na hilo kuna ramani mpya inayotumiwa na Tanzania kuonyesha kuwa kuna mpaka katikati ya ziwa Nyasa unaotenganisha miliki yetu Tanzania na ile ya Malawi, ramani hii inakataliwa vikali na Malawi.

Je Tanzania tumepata ramani hiyo kwa mujibu wa sheria/makubaliano yapi ya kimataifa?

Je unasemeaje kuhusu African Union border Programme ya 2007 kuhusu uwezekano wake wa kusaidia kutatua mgogoro huu wa Je unasemeaje kuhusu African Union border Programme ya 2007 kuhusu uwezekano wake wa kusaidia kutatua mgogoro huu wa mpaka?

Je Heligoland treaty haina kipengele kinachoruhusu makubaliano mapya au marejeo?

Je ile kampuni ya Hamra Oil ya United Arab Emirates iliyopewa leseni na Malawi kutafiti na kuchimba Mafuta ziwa Nyasa inachukuliwaje na Tz?

Je ule usemi wa Mwalimu Nyerere hapo juu unausemeaje kuhusu mchango wake ktk mgogoro huu?

Ipi sera ya Tanzania ya kutatua mgogorIpi sera ya Tanzania ya kutatua mgogoro huu?

Je heligoland treaty inabind vipi Tanzania wakati Tanganyika ndiye alikuwa nchi husika?

Kwa kuwa wewe ni mtaalamu wa Sheria za kimataifa basi tupatie international principles zitakazoweza tumika kutatua mgogorKwa kuwa wewe ni mtaalamu wa Sheria za kimataifa basi tupatie international principles zitakazoweza tumika kutatua mgogoro huu?

Karibuni na wajuzi wengine.
 
Wewe unatumiwa na Malawi sio bure, kawambie sheria za mipaka za kimataifa zinasema pale inapotokea kuna kuwa na ziwa au bahari basi Mpaka ni katikati, Nyerere hajawahi kutoa kauli ya kijinga kama hiyo we mmalawi, nenda kwenye majikwaa yenu ya Malawi tupishe kwenye jukwaa letu la JF
 
Wamalawi mpo wengi sana Tanzania... Kwa taarifa yako mwenye mamlaka ya kuongelea mipaka ya nchi yetu ni Rais wa Jamhuri ya Tanzania na Amri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania.

Hilo swali lako mpelekee Magufuli....
 
Mkuu [HASHTAG]#MKWEPAKODI[/HASHTAG] hizo sheria za kimataifa zinazosema hivyo ni zipi na za mwaka gani?

Siunajua sheria haitumiki kurudi nyuma, kwahiyo kama ni za miaka ya 1990 + basi haziwezi batilisha Heligoland treaty ya mwaka 1890.

Mkuu pinga hoja kwa hoja usianze kusingizia kuwa mimi ni Mmalawi bila ushahidi na kuacha hoja zinapepea.
 
Mkuu [HASHTAG]#idawa[/HASHTAG] sheria ipi inayompa Raisi tu mamlaka ya kuzungumzia masuala ya mipaka?

Sheria ipi inazuia A.G kuzungumzia suala hili?
 
Huu Mgogoro usiibuliwe kipindi hiki cha Magu maana hachelewi kusogeza Vikosi vyetu mpakani

Tusubiri mpaka wakati wa 'Jk Mwingine ' ndio anaweza kwenda nao kidiplomasia

Wakati ule Tayari Lowassa na Membe walishataka tusogeze Vikosi mpakani Kama sio busara za Yule 'dhaifu Mwenye gentleman degree' tungeshazichapa
 
Heshima kwako Mwalimu wangu wa Logic and reasoning(AG, DR. KILANGI).

Ninajua una majukumu mengi lakini usisite kutolea ufafanuzi suala hili la jinsi ya kumaliza mgogoro wa umiliki wa Ziwa Nyasa.

Tumesikia mengi sana kuhusu mgogoro wa umiliki wa ziwa Nyasa kati ya Tz na Malawi.

Hata hivyo kwa bahati mbaya hakuna machapisho ya kutosha hapa nchini yanayohusu ukweli wa nani mmiliki halali wa Ziwa Nyasa(hatakama yapo basi yanapatikana kwa uchache).

Malawi wanaendelea kushika msimamo wao kuwa ziwa Nyasa ni mali yao kwa kutumia sheria ya Heligoland Treaty iliyosainiwa 1 July, 1890 na mataifa ya Uingereza na Jermani wakati huo wakitawala Malawi na Tz kama makoloni yao.

Hatahivyo tangu mwaka 1960 kabla ya uhuru Tanganyika haikuwahi kukataa kuwa ziwa Nyasa ni mali ya Malawi, ushahidi kuhusu hili ni pale Mwalimu Julius K. Nyerere aliposema maneno yafuatayo kwenye kikao cha Tanganyika legislative Council,

"'we know that not a drop of water of the water of Lake Nyasa belongs to Tanganyika under the terms of agreement so that in actual fact, we would be asking a neighbouring government . . . . To change the boundary in favour of Tanganyika"

Sambamba na hilo kuna ramani mpya inayotumiwa na Tanzania kuonyesha kuwa kuna mpaka katikati ya ziwa Nyasa unaotenganisha miliki yetu Tanzania na ile ya Malawi, ramani hii inakataliwa vikali na Malawi.

Je Tanzania tumepata ramani hiyo kwa mujibu wa sheria/makubaliano yapi ya kimataifa?

Je unasemeaje kuhusu African Union border Programme ya 2007 kuhusu uwezekano wake wa kusaidia kutatua mgogoro huu wa Je unasemeaje kuhusu African Union border Programme ya 2007 kuhusu uwezekano wake wa kusaidia kutatua mgogoro huu wa mpaka?

Je Heligoland treaty haina kipengele kinachoruhusu makubaliano mapya au marejeo?

Je ile kampuni ya Hamra Oil ya United Arab Emirates iliyopewa leseni na Malawi kutafiti na kuchimba Mafuta ziwa Nyasa inachukuliwaje na Tz?

Je ule usemi wa Mwalimu Nyerere hapo juu unausemeaje kuhusu mchango wake ktk mgogoro huu?

Ipi sera ya Tanzania ya kutatua mgogorIpi sera ya Tanzania ya kutatua mgogoro huu?

Je heligoland treaty inabind vipi Tanzania wakati Tanganyika ndiye alikuwa nchi husika?

Kwa kuwa wewe ni mtaalamu wa Sheria za kimataifa basi tupatie international principles zitakazoweza tumika kutatua mgogorKwa kuwa wewe ni mtaalamu wa Sheria za kimataifa basi tupatie international principles zitakazoweza tumika kutatua mgogoro huu?

Karibuni na wajuzi wengine.
Nakuunga mkono mkuu tuwaache malawi nao wajidai na hako kaziwa nyasa.
Sisi tujitazame tuna viktoria tuna tanganyika tuna bahari ya HINDi je tumevitendea haki kwa kutuletea maendeleo kiuchumi?
Au ndo tunatafuta kuwadhulumu jirani zetu hao wema kilicho maliyao?
 
watanzania majanga yaani kaapishwa jana na kesho nahisi ndio itakuwa siku ya kwanza ofisini,umeshampa task
 
Yaani kuuliza mambo muhimu ya nchi yangu nieleweshwe, tayari nimepachikwa uraia feki wa malawi.

Kama hujui chochote usikomenti ushabiki wako/mihemko yako ya kisiasa. Achia wajuzi wa haya mambo watujuze.
 
Mleta hoja mchonganishi na mchochezi na au unatumika kumtega AG! Kwanini swali hili hukuliuliza kwa mtangulizi wake? Na kuna nini kimekusukuma leo ilihali hali ni shwari? Haiyumkini wewe ni mmalawi na kuna haja ya mamlaka husika kuhakiki wageni wakazi ili muanze kulipia kodi za makazi kwani mmebweteka na kufikiri hii nchi ni kwa bibi zenu! Hebu uhamiaji ikusanye pesa upande huu zitusaidie kulipia elimu.
 
Naanza kwa ku declare interest: huu uzi ntachangi kwa mihemko..

Wewe mtoa maada kama umetumwa na wamalawi ukajifunza kiswahili cha kuunga unga ili uonekane mwezetu nnapenda tu kukwambia umeshindwa..
Sisi watanzania tupo imara kwenye uzalendo wa kutetea mipaka yetu..

Ziwa nyasa ni pasu pasu..hio mikataba ya wakoloni tuliowakimbiza mbio haituhusu..
 
Mkuu [HASHTAG]#MKWEPAKODI[/HASHTAG] hizo sheria za kimataifa zinazosema hivyo ni zipi na za mwaka gani?

Siunajua sheria haitumiki kurudi nyuma, kwahiyo kama ni za miaka ya 1990 + basi haziwezi batilisha Heligoland treaty ya mwaka 1890.

Mkuu pinga hoja kwa hoja usianze kusingizia kuwa mimi ni Mmalawi bila ushahidi na kuacha hoja zinapepea.
Sikiliza wewe shushu wa kimalawi hivi unajua kama hata maji ya ziwa Victoria ni ya misri?, sisi hatupaswi kuyatumia kutokana na mikataba ya kikoloni, acha hizo wewe mzee wa lilongwe
 
Heshima kwako Mwalimu wangu wa Logic and reasoning(AG, DR. KILANGI).

Ninajua una majukumu mengi lakini usisite kutolea ufafanuzi suala hili la jinsi ya kumaliza mgogoro wa umiliki wa Ziwa Nyasa.

Tumesikia mengi sana kuhusu mgogoro wa umiliki wa ziwa Nyasa kati ya Tz na Malawi.

Hata hivyo kwa bahati mbaya hakuna machapisho ya kutosha hapa nchini yanayohusu ukweli wa nani mmiliki halali wa Ziwa Nyasa(hatakama yapo basi yanapatikana kwa uchache).

Malawi wanaendelea kushika msimamo wao kuwa ziwa Nyasa ni mali yao kwa kutumia sheria ya Heligoland Treaty iliyosainiwa 1 July, 1890 na mataifa ya Uingereza na Jermani wakati huo wakitawala Malawi na Tz kama makoloni yao.

Hatahivyo tangu mwaka 1960 kabla ya uhuru Tanganyika haikuwahi kukataa kuwa ziwa Nyasa ni mali ya Malawi, ushahidi kuhusu hili ni pale Mwalimu Julius K. Nyerere aliposema maneno yafuatayo kwenye kikao cha Tanganyika legislative Council,

"'we know that not a drop of water of the water of Lake Nyasa belongs to Tanganyika under the terms of agreement so that in actual fact, we would be asking a neighbouring government . . . . To change the boundary in favour of Tanganyika"

Sambamba na hilo kuna ramani mpya inayotumiwa na Tanzania kuonyesha kuwa kuna mpaka katikati ya ziwa Nyasa unaotenganisha miliki yetu Tanzania na ile ya Malawi, ramani hii inakataliwa vikali na Malawi.

Je Tanzania tumepata ramani hiyo kwa mujibu wa sheria/makubaliano yapi ya kimataifa?

Je unasemeaje kuhusu African Union border Programme ya 2007 kuhusu uwezekano wake wa kusaidia kutatua mgogoro huu wa Je unasemeaje kuhusu African Union border Programme ya 2007 kuhusu uwezekano wake wa kusaidia kutatua mgogoro huu wa mpaka?

Je Heligoland treaty haina kipengele kinachoruhusu makubaliano mapya au marejeo?

Je ile kampuni ya Hamra Oil ya United Arab Emirates iliyopewa leseni na Malawi kutafiti na kuchimba Mafuta ziwa Nyasa inachukuliwaje na Tz?

Je ule usemi wa Mwalimu Nyerere hapo juu unausemeaje kuhusu mchango wake ktk mgogoro huu?

Ipi sera ya Tanzania ya kutatua mgogorIpi sera ya Tanzania ya kutatua mgogoro huu?

Je heligoland treaty inabind vipi Tanzania wakati Tanganyika ndiye alikuwa nchi husika?

Kwa kuwa wewe ni mtaalamu wa Sheria za kimataifa basi tupatie international principles zitakazoweza tumika kutatua mgogorKwa kuwa wewe ni mtaalamu wa Sheria za kimataifa basi tupatie international principles zitakazoweza tumika kutatua mgogoro huu?

Karibuni na wajuzi wengine.
Huo mpaka unaopita katikati ya ziwa upo tangu enzi za Tanganyika, hivyo si mpya.
 
Heshima kwako Mwalimu wangu wa Logic and reasoning(AG, DR. KILANGI).

Ninajua una majukumu mengi lakini usisite kutolea ufafanuzi suala hili la jinsi ya kumaliza mgogoro wa umiliki wa Ziwa Nyasa.

Tumesikia mengi sana kuhusu mgogoro wa umiliki wa ziwa Nyasa kati ya Tz na Malawi.

Hata hivyo kwa bahati mbaya hakuna machapisho ya kutosha hapa nchini yanayohusu ukweli wa nani mmiliki halali wa Ziwa Nyasa(hatakama yapo basi yanapatikana kwa uchache).

Malawi wanaendelea kushika msimamo wao kuwa ziwa Nyasa ni mali yao kwa kutumia sheria ya Heligoland Treaty iliyosainiwa 1 July, 1890 na mataifa ya Uingereza na Jermani wakati huo wakitawala Malawi na Tz kama makoloni yao.

Hatahivyo tangu mwaka 1960 kabla ya uhuru Tanganyika haikuwahi kukataa kuwa ziwa Nyasa ni mali ya Malawi, ushahidi kuhusu hili ni pale Mwalimu Julius K. Nyerere aliposema maneno yafuatayo kwenye kikao cha Tanganyika legislative Council,

"'we know that not a drop of water of the water of Lake Nyasa belongs to Tanganyika under the terms of agreement so that in actual fact, we would be asking a neighbouring government . . . . To change the boundary in favour of Tanganyika"

Sambamba na hilo kuna ramani mpya inayotumiwa na Tanzania kuonyesha kuwa kuna mpaka katikati ya ziwa Nyasa unaotenganisha miliki yetu Tanzania na ile ya Malawi, ramani hii inakataliwa vikali na Malawi.

Je Tanzania tumepata ramani hiyo kwa mujibu wa sheria/makubaliano yapi ya kimataifa?

Je unasemeaje kuhusu African Union border Programme ya 2007 kuhusu uwezekano wake wa kusaidia kutatua mgogoro huu wa Je unasemeaje kuhusu African Union border Programme ya 2007 kuhusu uwezekano wake wa kusaidia kutatua mgogoro huu wa mpaka?

Je Heligoland treaty haina kipengele kinachoruhusu makubaliano mapya au marejeo?

Je ile kampuni ya Hamra Oil ya United Arab Emirates iliyopewa leseni na Malawi kutafiti na kuchimba Mafuta ziwa Nyasa inachukuliwaje na Tz?

Je ule usemi wa Mwalimu Nyerere hapo juu unausemeaje kuhusu mchango wake ktk mgogoro huu?

Ipi sera ya Tanzania ya kutatua mgogorIpi sera ya Tanzania ya kutatua mgogoro huu?

Je heligoland treaty inabind vipi Tanzania wakati Tanganyika ndiye alikuwa nchi husika?

Kwa kuwa wewe ni mtaalamu wa Sheria za kimataifa basi tupatie international principles zitakazoweza tumika kutatua mgogorKwa kuwa wewe ni mtaalamu wa Sheria za kimataifa basi tupatie international principles zitakazoweza tumika kutatua mgogoro huu?

Karibuni na wajuzi wengine.

Kwanza kajifunze ' communication skills' halafu uje uombe ufafanuzi kama hufahamu au uje ujenge hoja yako kwa taarifa ulizonazo.
 
Mtoa mada ivi katika akili ndogo tu ya kawaida ni wapi umewai kusikia duniani eti mnashea ziwa au bahari afu mpaka usiwe katikati?
 
Ukifuata ramani utapotea. Sehemu ya ziwa ni yetu na iliyobaki ni ya Malawi na Msumbiji. So far tunaendelea kulitumia ziwa kama letu na tayari tumeshajenga 'strategic ships' za kubeba abiria na mizigo ambazo pia zinaweza kutumika kama meli za kivita just in case a war breaks out...
 
Back
Top Bottom