Werema amenyoosha maelezo, though inaweza kuonekana anawakingia kifua lakini ukweli unabaki palepale, haiwezekani ukatuhumu, ukapeleleza na kushtaki bila mtu mwingine kucheki kama ni majungu, visasi au kweli kuna kosa in terms of ushahidi, haiwezekani.
Jiulize hao Pccb wanaong'ang'ania kufutwa kipengele cha conset ya Dpp wameshinda kesi ngapi? ukicompare na walizoshindwa? na zile za disign ya Liyumba? Sometimes watu tunakuwa mashabiki zaidi.
Sheria iko poa tatizo labda ni dhamira tu, Hosea aache visingizio na siku zote serikali huwa ina kauli moja na msimamo 1