Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,276
- 4,513
Habarini wakuu,
Kuna kisa kimoja nimekutana nacho hivyo naomba nikiweke hapa.
Nlikuwa central police arusha nlikuwa rumande baada ya Askari kunilazimisha kuwa nilipita kwenye taa nyekundu wakati sio ndipo nlipokataa mpaka tutafikishana kuweka a rumande kwa zaidi ya saa 48 japo ilkua n weekend lakin baadae nlijua alikuwa amenikosea ila sifikirii kumshtaki lakini Kuna visa vingi nimekutana navyo humo Kuna jamaa anashikiliwa humo kwa kosa la mauaji ya watu watatu lakini bado ajafikishwa mahakani ila yupo tangu mwez July 2018, kwa mujibu wa maelezo yake anasema anebambikiwa hyo kesi na anaemshtaki ni msthakiwa wake(hyu jamaa aliepo selo) Kwan hyu jamaa aliepo selo Ana kesi yake ya msingi ya kuchomewa nyumba na mmoja Kati ya washtakiwa watano kwenye hyo kesi ya nyumba mmoja wapo ndo kapeleka kesi ya mauji na kumtuhumu huyu bwana kuwa ndo muuaji.
HISTORIA FUPI TA HUYU BWANA
👉Jamaa ni mtu wa mererani kuishi na kufanya kazi umri wake n Kama 30hv alifungua kesi ya kuchomewa nyumba kwenye mahakani iliyopo jiji la Arusha wakati kesi inaendelea jamaa akafunguliwa hyo kesi ya mauaji na kadri anavyosema hayo mauji location zinabadilika kila anapohojiwa.
Huyu jamaa n kijana wa kawaida tuu Hana uelewa kuhusu wajibu wa KISHERIA hata taaluma yake n ndogo mno kiuchumi n mtu wa kawaida Kama asilimia 70 ya watanzania tulivyo ni ya kawaida sio tajiri Wala maskini n ile kula ili uishi
Hvyo Kama Kuna mwanasheria anaweza jitolea kutoa msaada wa KISHERIA basi anaombwa awasaidia Hawa vijana ili wapate haki Yao Kama kuwa huru au kuwa kizuizini pia ni wito wangu kwa wanasheria kujitolea na kupita mahabusu ili mtoe msaada wa KISHERIA kwa watanzania wenzenu.
Karibuni kwa msaada, maoni na ushauri
Kuna kisa kimoja nimekutana nacho hivyo naomba nikiweke hapa.
Nlikuwa central police arusha nlikuwa rumande baada ya Askari kunilazimisha kuwa nilipita kwenye taa nyekundu wakati sio ndipo nlipokataa mpaka tutafikishana kuweka a rumande kwa zaidi ya saa 48 japo ilkua n weekend lakin baadae nlijua alikuwa amenikosea ila sifikirii kumshtaki lakini Kuna visa vingi nimekutana navyo humo Kuna jamaa anashikiliwa humo kwa kosa la mauaji ya watu watatu lakini bado ajafikishwa mahakani ila yupo tangu mwez July 2018, kwa mujibu wa maelezo yake anasema anebambikiwa hyo kesi na anaemshtaki ni msthakiwa wake(hyu jamaa aliepo selo) Kwan hyu jamaa aliepo selo Ana kesi yake ya msingi ya kuchomewa nyumba na mmoja Kati ya washtakiwa watano kwenye hyo kesi ya nyumba mmoja wapo ndo kapeleka kesi ya mauji na kumtuhumu huyu bwana kuwa ndo muuaji.
HISTORIA FUPI TA HUYU BWANA
👉Jamaa ni mtu wa mererani kuishi na kufanya kazi umri wake n Kama 30hv alifungua kesi ya kuchomewa nyumba kwenye mahakani iliyopo jiji la Arusha wakati kesi inaendelea jamaa akafunguliwa hyo kesi ya mauaji na kadri anavyosema hayo mauji location zinabadilika kila anapohojiwa.
Huyu jamaa n kijana wa kawaida tuu Hana uelewa kuhusu wajibu wa KISHERIA hata taaluma yake n ndogo mno kiuchumi n mtu wa kawaida Kama asilimia 70 ya watanzania tulivyo ni ya kawaida sio tajiri Wala maskini n ile kula ili uishi
Hvyo Kama Kuna mwanasheria anaweza jitolea kutoa msaada wa KISHERIA basi anaombwa awasaidia Hawa vijana ili wapate haki Yao Kama kuwa huru au kuwa kizuizini pia ni wito wangu kwa wanasheria kujitolea na kupita mahabusu ili mtoe msaada wa KISHERIA kwa watanzania wenzenu.
Karibuni kwa msaada, maoni na ushauri