Mwanasayansi nguli Stephen Hawking adai baada ya miaka 1,000 Dunia itateketea

Mungu atatunusuru tuuuu c mnakumbuka agost 2016 mbona alitunusuru......... Af miaka 1000 au10k mbali kichiz vizazi vitakua vimeishi vya kutosha
 
Tushasikia sana hizi story.


Baada ya kuona kila wakisema "mwakani kimondo kinaogonga dunia alaf wote tunakufa" au "mwaka huu ndio mwisho wa dunia" alafu hayawi kweli,safari hii wameona waongeze muda,wanasema after 1000 years. Bullshit!
 
22f125cd7ad083ef0e4c011f44874a00.jpg
2 hours ago


Dunia tunayoishi haitokuwa kama ilivyo sasa baada ya miaka 1,000.

Mwanasayansi nguli Stephen Hawking, amesema binadamu hawatoweza tena kuishi katika ardhi ya dunia kwa miaka 1,000 nyingine, na chanzo kitakuwa yale yale, mabadiliko ya tabia nchi, mabomu na roboti.

07f9e2132acb13b4f7c024ba44b7fb87.jpg
Stephen hawking

Akiongea kwenye chuo kikuu cha Oxford wiki kadhaa zilizopita, Hawking alisema njia pekee itakayotupa maisha zaidi, ni kuhama kwenye dunia hii na kwenda kutengeneza makoloni kwenye sayari zingine.

“Although the chance of a disaster to planet Earth in a given year may be quite low, it adds up over time, and becomes a near certainty in the next 1,000 or 10,000 years,” alisema.

“By that time we should have spread out into space, and to other stars, so a disaster on Earth would not mean the end of the human race.”

Pamoja na hivyo, Hawking alikuwa na maneno ya faraja: Remember to look up at the stars and not down at your feet. Try to make sense of what you see, wonder about what makes the universe exist,” he said. “Be curious. However difficult life may seem, there is always something you can do and succeed at. It matters that you don’t just give up
I appreciate for what you have done to accomplish this weird thread.
Simple but contain very useful information.

Be blessed.
 
Ungejua MUNGU alivyo na mipango na planet earth.....

Ungejua namna atakavyoisafisha kwa moto na kuwa Dunia mpya ya watakatifu kuishi.

Itakua ile ya kipindi kile yaani ita chukua utukufu mpya.(Paradisical Glory).


Kifupi ,Dunia ni kiumbe hai,
Dunia ilishabatizwa kwa maji mengi (Noah's flood)

Dunia pia itabatizwa kwa moto .(ubatizo wa Roho mtakatifu).

Then itakua sanctified kwa wale waliofuzu kuishi.
 
Kwa hali iliyopo sasa nahisi human kind and earth's probability of survival is down to 500 years.

Or maybe 300 years.
 
Ungejua MUNGU alivyo na mipango na planet earth.....

Ungejua namna atakavyoisafisha kwa moto na kuwa Dunia mpya ya watakatifu kuishi.

Itakua ile ya kipindi kile yaani ita chukua utukufu mpya.(Paradisical Glory).


Kifupi ,Dunia ni kiumbe hai,
Dunia ilishabatizwa kwa maji mengi (Noah's flood)

Dunia pia itabatizwa kwa moto .(ubatizo wa Roho mtakatifu).

Then itakua sanctified kwa wale waliofuzu kuishi.
Walioandika hizo theories za mungu ndio haohao kina babu zake na Stephen hawking.
 
napenda kuja kuona binadamu tukianzisha makazi sayari nyengine!
tatizo lipo kwenye ku-change

mazingira ya hizo sayari doh!! More thinking and effort need there
kipindi hicho tutakua mafuvu ya watu wa kale
 
22f125cd7ad083ef0e4c011f44874a00.jpg
2 hours ago


Dunia tunayoishi haitokuwa kama ilivyo sasa baada ya miaka 1,000.

Mwanasayansi nguli Stephen Hawking, amesema binadamu hawatoweza tena kuishi katika ardhi ya dunia kwa miaka 1,000 nyingine, na chanzo kitakuwa yale yale, mabadiliko ya tabia nchi, mabomu na roboti.

07f9e2132acb13b4f7c024ba44b7fb87.jpg
Stephen hawking

Akiongea kwenye chuo kikuu cha Oxford wiki kadhaa zilizopita, Hawking alisema njia pekee itakayotupa maisha zaidi, ni kuhama kwenye dunia hii na kwenda kutengeneza makoloni kwenye sayari zingine.

“Although the chance of a disaster to planet Earth in a given year may be quite low, it adds up over time, and becomes a near certainty in the next 1,000 or 10,000 years,” alisema.

“By that time we should have spread out into space, and to other stars, so a disaster on Earth would not mean the end of the human race.”

Pamoja na hivyo, Hawking alikuwa na maneno ya faraja: Remember to look up at the stars and not down at your feet. Try to make sense of what you see, wonder about what makes the universe exist,” he said. “Be curious. However difficult life may seem, there is always something you can do and succeed at. It matters that you don’t just give up.”
HUYO SHETANI ndio maana alipigwa ugonjwa akawa anaongelea mashine, lilikuwa pepo kama mapepo mengine tu. ni shetani alikuwa anaoperate ndani yake.
 
kipindi hicho tutakua mafuvu ya watu wa kale
Lakwako litakuwa mafuta usiniulize mafuta yapi jiangalie tabia zako tu utajua!.. binafsi nitakuwa mafuta ya kupanda Bei..😂
 
HUYO SHETANI ndio maana alipigwa ugonjwa akawa anaongelea mashine, lilikuwa pepo kama mapepo mengine tu. ni shetani alikuwa anaoperate ndani yake.
Waafrika bhana..!
Jambo ambalo liko nje ya uwezo wetu wa kufikiri tunaliita la kishetani.
Hatari sana.
 
HUYO SHETANI ndio maana alipigwa ugonjwa akawa anaongelea mashine, lilikuwa pepo kama mapepo mengine tu. ni shetani alikuwa anaoperate ndani yake.
kwa nini umuite shetani huku ukisema shetani alikua akioperate ndani yake?

Hapo ni yeye au shetani?
 
Back
Top Bottom