Mwanasayansi Mkuu wa Nyuklia Iran auawa

Ww jamaa acha kuchanganya madesa,
Caleb na Joshua hawakuwa kwenye timu ya kijasusi ya kuipeleleza Jericho

Joshua ndie aliyewatuma vijana wake huko na wakapenya katikati ya ngome nzito za huu mji na kurudi salama wakiwa na nyaraka nzito za kiintelijesia

Tafsiri ya nyaraka ikaonesha kwamba kwamba kwa nguvu zao za kijeshi pekee, hawawez kupigana against waYeriko, hasa sbb ya zile kuta nzito

Wakamuendea Mungu kuomba msaada, kilichofanyika ni zile kuta kuanguka na Israel kushinda kirahisi sana
Sasa yeye si ndio alikuwa boss bado pia yeye jasusi.

God bless and protect Israel
 
Unajua kabisa kwamba iran huwa habwabwaji subiri majibu siku 7 tu umesahau kuwa iran ilishambulia bases za marekani kule Iraq?israel wajiandae kisaikolojia

Mwanapropaganda Muqawama Wa SHIA siku 7 zimeshapita tayari, vipi kuna majibu yotote kutokea Hapo Iran??
 
Asilimia 90 ya waiRan sio Anti-Israel.
90% ya wairan sio anti Americans
90% ya iranians hawaipendi serikali yao
90% ya iranians walifurahi Qaasim suleiman kuuwawa maana aliwatesa sana

Lakini wabongo wa kwa mtogole wavaa vipedo wanadhani Iran nzima inachukia waisrail
Duh utafiti huu umeufanyia wapi
 
Israel kaua wanasayansi wangapi wa Iran mpaka leo?....achilia mbali wanasayansi hao proxy wa Iran huko Syria ndo usiseme makumi kwa makumi lakini Iran anaishia maneno tu kwa myahudi....hili taifa la visasi ndo nchi inayoendelea kuwepo huku ikiwa imezungukwa na maadui pande zote....lakini jamaa wapo wanaemdelea na maisha yao.
Hivi sababu ya kuua wanasayansi hua ni ipi? Kwanini wasiwafate wanasiasa?
 
Ww jamaa acha kuchanganya madesa,
Caleb na Joshua hawakuwa kwenye timu ya kijasusi ya kuipeleleza Jericho

Joshua ndie aliyewatuma vijana wake huko na wakapenya katikati ya ngome nzito za huu mji na kurudi salama wakiwa na nyaraka nzito za kiintelijesia

Tafsiri ya nyaraka ikaonesha kwamba kwamba kwa nguvu zao za kijeshi pekee, hawawez kupigana against waYeriko, hasa sbb ya zile kuta nzito

Wakamuendea Mungu kuomba msaada, kilichofanyika ni zile kuta kuanguka na Israel kushinda kirahisi sana
Wapelelezi hao wanaporudi Kadeshi, wanamwambia Musa hivi: ‘Ni nchi nzuri kweli kweli.’ Na kama ushuhuda wa hayo, wanamwonyesha Musa matunda fulani. Lakini wapelelezi 10 wanasema hivi: ‘Watu wanaokaa huko ni wakubwa na wenye nguvu sana. Tutauawa tukijaribu kuichukua nchi hiyo.’

Waisraeli wanaogopa kwa kusikia hayo. ‘Afadhali tungefia Misri au hata humu jangwani,’ wanasema. ‘Tutauawa vitani, wake zetu na watoto watatekwa nyara. Na tuchague kiongozi mpya mahali pa Musa, turudi Misri!’

Lakini wapelelezi wawili wanamtumaini Yehova, wanajaribu kuwatuliza watu. Ni Yoshua na Kalebu. Wanasema: ‘Msiogope. Yehova yuko pamoja na sisi. Itakuwa rahisi kuichukua nchi hiyo.’ Lakini watu hawasikii.
 
punguza propaganda hiui unajua f 35 inbeba mafuta kiasi gani na hadi ifike iran inahitaji mafuta kiasa gani ama unaongea tu
Mkuu ngoja nikupe fact

wo Israeli F-35 fighter jets entered Iranian airspace over the past month, Kuwaiti newspaper Al-Jarida reported on Thursday. The act is a signal of heightened regional tensions, especially in light of recent Israeli military attacks in Syria, including against Iranian bases in the country.

Sources quoted in Al-Jarida stated that two stealth fighters flew over Syrian and Iraqi airspace to reach Iran, and even targeted locations in the Iranian cities Bandar Abbas, Esfahan and Shiraz.

The report states that the two fighter jets, among the most advanced in the world, circled at high altitude above Persian Gulf sites suspected of being associated with the Iranian nuclear program. It also states that the two jets went undetected by radar, including by the Russian radar system located in Syria.


 
Israel wangekuwa na huo uwezo wa kuwa invisible wangeshaleta maafa muda Sana katika Iran.. hasa makazi ya Ayatollah
Israel wangekuwa na huo uwezo wa kuwa invisible wangeshaleta maafa muda Sana katika Iran.. hasa makazi ya Ayatollah
Mkuu ngoja nikupe fact

wo Israeli F-35 fighter jets entered Iranian airspace over the past month, Kuwaiti newspaper Al-Jarida reported on Thursday. The act is a signal of heightened regional tensions, especially in light of recent Israeli military attacks in Syria, including against Iranian bases in the country.

Sources quoted in Al-Jarida stated that two stealth fighters flew over Syrian and Iraqi airspace to reach Iran, and even targeted locations in the Iranian cities Bandar Abbas, Esfahan and Shiraz.

The report states that the two fighter jets, among the most advanced in the world, circled at high altitude above Persian Gulf sites suspected of being associated with the Iranian nuclear program. It also states that the two jets went undetected by radar, including by the Russian radar system located in Syria.


sofrep.com

Two Israeli Air Force F-35 Adir Stealth Fighter Jets Enter Iranian Airspace | SOFREP

Guess you could assume, if this story is true, the F-35 proved its technology works in real life. Two Israeli F-35 fighter jets entered Iranian airspace
sofrep.com
sofrep.com
 
Back
Top Bottom