Mwanariadha Jackline Sakilu Ashinda Tuzo za TASWA kwa Mwezi Februari, 2024

Melubo Letema

JF-Expert Member
Apr 1, 2020
312
288

Mwanariadha wa Kimataifa, Staff Sergeant (SSgt) Jackline Juma Sakilu wa JWTZ, amechaguliwa kuwa Mwanamichezo Bora wa Tanzania kwa mwezi Februari , 2024 katika tuzo zinazotolewa na chama Cha Waandishi wa habari za Michezo Tanzania (TASWA).

Kushoto : Jackline Sakilu na Alphonce Simbu

TUKUMBUKE;

Jackline Juma Sakilu ALIVUNJA Rekodi ya Taifa kwa sekunde 33, kwenye Mbio Ndefu za Kilomita 21, Kwa kushika nafasi ya Tatu Kwa Muda wa 1:06:04 (Half Marathon) Tarehe 24/02/2024 , Rekodi ya Taifa ambayo iliyokuwa inashikiliwa na Magdalena Shauri kwa muda (1:06:37) toka tarehe 21 February 2020 kwenye Mbio za Ras Al Khaimah Half Marathon (U.A.E) kwenye njia hiyo hiyo, na wote ni Wanariadha kutoka (JWTZ).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…