Mwanangu katishwa na wenzake kwamba atafeli

Mwanangu katishwa na wenzake kwamba atafeli

Umeme wa istallation sio mgumu kiivo. Umeme mgumu ni ule wa electronics...
 
Mwanangu kachaguliwa NIT. DIPLOMA OF ELECTRICAL ENGINEERING WITH RAILWAY ELECTRIFICATION jana kaenda kufuatilia admission kakutana na wanaosoma kozi hiyo wakamtisha hiyo kozi ni ngumu sana.eti wanaanzaga 300 wanafanikiwa kufaulu 50 tu.

Je, kuna ukweli kwenye hili naona ka panic.

Wazoefu mtujuze.usikute ni ile tabia ya watanzania kukwamishana.ndio maana hatuendelei.

Badala ya kutiana moyo na kuhamasishana sisi tunakwazana.
Umekuja kuwashtaki hapa ili?

Nadhani unachopaswa kufanya ni kumpa moyo mwanao na awapuuze hao failures
 
Mwanangu kachaguliwa NIT. DIPLOMA OF ELECTRICAL ENGINEERING WITH RAILWAY ELECTRIFICATION jana kaenda kufuatilia admission kakutana na wanaosoma kozi hiyo wakamtisha hiyo kozi ni ngumu sana.eti wanaanzaga 300 wanafanikiwa kufaulu 50 tu.

Je, kuna ukweli kwenye hili naona ka panic.

Wazoefu mtujuze.usikute ni ile tabia ya watanzania kukwamishana.ndio maana hatuendelei.

Badala ya kutiana moyo na kuhamasishana sisi tunakwazana.
Hayo waliyomwambia wenzake nayakubali kwa 100%.





















NB: iwapo yanajumuisha mafunzo ya ukomandoo.

Naomba kuwasilisha
 
Back
Top Bottom