Mwanangu kachaguliwa NIT. DIPLOMA OF ELECTRICAL ENGINEERING WITH RAILWAY ELECTRIFICATION jana kaenda kufuatilia admission kakutana na wanaosoma kozi hiyo wakamtisha hiyo kozi ni ngumu sana.eti wanaanzaga 300 wanafanikiwa kufaulu 50 tu.
Je, kuna ukweli kwenye hili naona ka panic.
Wazoefu mtujuze.usikute ni ile tabia ya watanzania kukwamishana.ndio maana hatuendelei.
Badala ya kutiana moyo na kuhamasishana sisi tunakwazana.
Je, kuna ukweli kwenye hili naona ka panic.
Wazoefu mtujuze.usikute ni ile tabia ya watanzania kukwamishana.ndio maana hatuendelei.
Badala ya kutiana moyo na kuhamasishana sisi tunakwazana.