Ukienda hospitali utapewa antibioticsMadaktari tafadhali nisaidieni. Mwanangu anaumwa macho yapata mwezi sasa. Yamekuwa mekundu na yanatoa machozi muda wote na pia ndani kuna usaha. Hospitali dozi kapewa lakini hajapona kabisa!
Naomba msaada. Je atapona kweli au ndo keshakuwa kipofu?
Nisaidieni jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Haraka iwezekanavyo kimbilia Hospital.... Go to any reputable hospital.Madaktari tafadhali nisaidieni. Mwanangu anaumwa macho yapata mwezi sasa. Yamekuwa mekundu na yanatoa machozi muda wote na pia ndani kuna usaha. Hospitali dozi kapewa lakini hajapona kabisa!
Naomba msaada. Je atapona kweli au ndo keshakuwa kipofu?
Nisaidieni jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda ccbrt wahi mkuuNdio keshaandikiwa dawa nyingi tu lakini haponi. Niambieni dawa mbazozijua na ninyi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ushauri mkuupole sana,mpeleke mtoto hosp akaonwe na drs na pia usafi wa macho ni muhimu sana kwa mtoto usiwape watu wamshike ovyo mtoto wako,tatizo linaweza kuwa linajirudia kutokana na kutozingatia kanuni za usafi kwa mtoto.
unapoenda hosp jaribu kwenda na dawa alizotumia na umwonyeshe dr ili kama ni kubadilisha dawa abadilishiwe na ikiwezakana apate hata sindano.
Vingine maadili ya kazi hayaruhusu kuyasema hapa ila tafuta huduma hosp na sio kwenda kununua dawa pharmacy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali fanya hima umpeleke CCBRT iliyoko Mikocheni, Dar es Salaam. Kwa watoto chini ya miaka 10 in bure.Madaktari tafadhali nisaidieni. Mwanangu anaumwa macho yapata mwezi sasa. Yamekuwa mekundu na yanatoa machozi muda wote na pia ndani kuna usaha. Hospitali dozi kapewa lakini hajapona kabisa!
Naomba msaada. Je atapona kweli au ndo keshakuwa kipofu?
Nisaidieni jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Madaktari tafadhali nisaidieni. Mwanangu anaumwa macho yapata mwezi sasa. Yamekuwa mekundu na yanatoa machozi muda wote na pia ndani kuna usaha. Hospitali dozi kapewa lakini hajapona kabisa!
Naomba msaada. Je atapona kweli au ndo keshakuwa kipofu?
Nisaidieni jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi hospital, kawape mrejesho