Mwanangu anaumwa macho. Yanatoa machozi na usaha

Malyenge

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
6,658
3,646
Madaktari tafadhali nisaidieni. Mwanangu anaumwa macho yapata mwezi sasa. Yamekuwa mekundu na yanatoa machozi muda wote na pia ndani kuna usaha. Hospitali dozi kapewa lakini hajapona kabisa!
Naomba msaada. Je atapona kweli au ndo keshakuwa kipofu?
Nisaidieni jamani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukienda hospitali utapewa antibiotics
 
Badilisheni hospitali, lakini tatizo hilo ni la kuonana na daktari akuandikie dawa.
 
Haraka iwezekanavyo kimbilia Hospital.... Go to any reputable hospital.
Hebu jaribu ccbrt, kama upo hapa dar es salaam
 
pole sana,mpeleke mtoto hosp akaonwe na drs na pia usafi wa macho ni muhimu sana kwa mtoto usiwape watu wamshike ovyo mtoto wako,tatizo linaweza kuwa linajirudia kutokana na kutozingatia kanuni za usafi kwa mtoto.

unapoenda hosp jaribu kwenda na dawa alizotumia na umwonyeshe dr ili kama ni kubadilisha dawa abadilishiwe na ikiwezakana apate hata sindano.

Vingine maadili ya kazi hayaruhusu kuyasema hapa ila tafuta huduma hosp na sio kwenda kununua dawa pharmacy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa ushauri mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafadhali fanya hima umpeleke CCBRT iliyoko Mikocheni, Dar es Salaam. Kwa watoto chini ya miaka 10 in bure.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…