Mwanangu anauliza; Kama dunia iliumbwa bila masaa (time zone), je punda na kuku nani kawafundisha kusoma majira hadi wawike?

yaani punda analia kila inapotimia saa kamili, mfano, saa 12 kamili utamsikia poopiiiiiipoooooooooopiiiiiiiiiii.....
Uongo gred ya taifa. Hayo madude yalishanichelewesha shule mara kibao nilipoyaamini kama yanacheza na saa kamili. Kwa kifupi hakuna mnyama anayecheza vizuri na muda akilinganishwa na hisi saa zetu za kizungu
 
Africa ndio maana haiendelei toto unalilipia ada Lina kuja na maswali ya kuuliza jogoo kuwika na punda kulia badala ya kuuliza trekta au ndege zinatengenezwaje.Angekuwa mwanangu namwachisha shule aende akachunge punda na kuangalia mabanda ya kuku kuliko kuendelea kulipia ada toto kama hilo
watoto wanahitaji kujibiwa kila swali mkuu
 
watoto wanahitaji kujibiwa kila swali mkuu
Achana na huyo bwege. Huyo mtoto aliekuuliza hilo swali,bonge la kijana,ana akili sana nakuambia. Mlinde sana. Hilo swali ni kubwa sana,wapo waliotangulia walikuwa wanaona hivi vitu lakini wanapuuzia tu. Achana na hawa vilaza,wanataka waulizwe vitu vyepesi tu kama 2+2
 
Internal body clock...kuna cues kwenye environment ambazo zinajulisha mnyama sasa ni wakati wa kupumzika au ni asubuhi,,
 
Internal body clock...kuna cues kwenye environment ambazo zinajulisha mnyama sasa ni wakati wa kupumzika au ni asubuhi,,
Rebeca umeamua kuzingua! punda anakuwa juani mathalani jangwani hayo mazingira kila saa anaonaje
 
Nenda u google kitu kimoja kinaitwa Circadian Rhythm utaelewa kwa nini wanyama wana adopt majira ya mazingira yao.
 
kwanini huyo punda analia after 60sec? tena exactly time kama ni saa 7 basi saa saba kamili, 8kamili
Universal Electromagnetic resonance or fragmentation ambazo zina-induce ubongo wa wanyama kuweza kutengeneza standard time lapse na yeye kupelekea kufnya tukio. Kumbuka wao wamekuwa wakifanya hivyo miaka kwa miaka kabla hata ya wanajimu wa kale kutengenenza mfumo wa masaa. Mfumo uliotengenezwa uliingizwa kwenye existing natural dimension. Yaani mfano waliangalia dunia inazunguka jua kwa mwaka mzima ambapo mwezi huzunguka mara 12 majira yanabadilika. wakatengenenza periodical annual seasons. kutokea hapo wakaangalia ili annual season itimie tugawanye vipi huo mwaka. Ndo wakatengenena hizo longitudinal distribution mwisho wa siku wakaja na masaa na dakika ila kimsingi wanyama hawafati masaa yetu ila tuliotengeneza masaa ndo tuliwafuata wao kuhakikisha masaa tunayoyatengenenza yana march natural distribution of events(seasons), location and space.
 
Universal Electromagnetic resonance or fragmentation ambazo zina-induce ubongo wa wanyama kuweza kutengeneza standard time lapse na yeye kupelekea kufnya tukio. Kumbuka wao wamekuwa wakifanya hivyo miaka kwa miaka kabla hata ya wanajimu wa kale kutengenenza mfumo wa masaa. Mfumo uliotengenezwa uliingizwa kwenye existing natural dimension. Yaani mfano waliangalia dunia inazunguka jua kwa mwaka mzima ambapo mwezi huzunguka mara 12 majira yanabadilika. wakatengenenza periodical annual seasons. kutokea hapo wakaangalia ili annual season itimie tugawanye vipi huo mwaka. Ndo wakatengenena hizo longitudinal distribution mwisho wa siku wakaja na masaa na dakika ila kimsingi wanyama hawafati masaa yetu ila tuliotengeneza masaa ndo tuliwafuata wao kuhakikisha masaa tunayoyatengenenza yana march natural distribution of events(seasons), location and space.
asante kwa maelezo mazuri
 
Swali ni je huyo dogo ataelewa universal electromagnetic resonance. Ndo maana tulipokuwa darasa la kwanza ukiulizwa 1-2 jibu ni haiwezekani. Maana hapo itabidi ajue DNA RNA na protein za ubongo zinavyofanya kazi, mfumo wa umeme kwenye ubongo etc.


Resonances are ever intriguing processes as they enable energy to be transferred selectively and with minimum loss. Resonances in biological macromolecules (proteins, DNA and RNA) are even more compelling, because they relate to macromolecular biological activity as well as have possible usage in technological developments (molecular computers) [111]. Recently, it has been shown that tubulin and microtubules have specific electromagnetic resonances that have a frequency range from THz to KHz [11]. Although there are similar examples where these resonances are measured experimentally [811], there is a need for theoretical models that can reliably predict these resonances in a variety of different macromolecules (proteins, DNA and RNA). Here we present the Resonant Recognition Model (RRM) [1216] as a good candidate for such predictions. RRM is a revolutionary new approach proposing that macromolecular activity is based on electromagnetic resonances
 

Attachments

  • GRAVITATIONAL ELECTROMAGNETIC RESONANCE.pdf
    111.3 KB · Views: 7
Ni hoja fikirishi sababu jogoo huwika saa 9 alfajiri, Kisha saa 12 alfajiri, Saa saba mchana, Saa tisa Alasiri kisha saa 12 jioni then anafunga mahesabu.

Je umeshawahi kujiuliza anajuaje timing?

Tunazungumzia jogoo Pure wa kijijini si hawa wa kwenu ma bloiler wanawika hata usiku wa manane au wakiona unakula chipsi.
Kwaharaka haraka nimegundua jogoo ndio hutupa ishara ya mabadiliko ya wakati katika siku. Hapo anawika, alfajiri, asubuhi, mchana, alasiri na jioni.
Akimaliza anamaanisha muda wa kulala, ila kuna kitu nafuatilia kama nitakuja kujua huo mgawanyo una majukumu gani kwa sisi viumbe tunaomsikiaga.
 
Wazee wa siku izi bana, kiasi wasiheshimika mbele ya watoto wao. Mzazi na yeye anaamini kabla ya wanasayansi asubuhi ilikuwa hamna.
 
"Mpaka huku posta"
Wasalimie posta waambie Mabwepande tuko fresh
sayansi ya ina mlolongo mrefu sana kama umeshindwa kujua hiyo simu inafanyeje kazi mpaka huka post na sisi tuka soma uzi wako na tuka komment.nenda fanya utafiti kama ni mtafiti mzuri.
kuna mazingira ambayo hata sayansi ina kopa kwenye dini ili kupata ukweli wa utafiti au hata mafanikio
 
Wale mliozaliwa masaki mkae msikilize tu!

Mwanangu asubuhi hii tukiwa njiani tunaelekea shule kaniuliza swali;

Ikiwa wanasayansi ndiyo waliotuletea Massa, (time zone-GMT) kwa kuweka sekunde,dakika hadi saa nzima kama tunavyosoma shule!

Je; kuku au punda walijuaje kuwika mda muafaka?

Kwa mliozaliwa mjini ni kwamba; Punda anaouwezo wa kuliaa/kubweka kila baada ya lisaaa limoja, na ukiangalia mda kwenye saa inakuwa kweli saa kamili!

Naombeni majibu yenu wadau; Maana dogo nimemwambia tutaongea jioni aniache kwanza asubuhi ninawahi kazini
View attachment 1219228
Jogoo anawika asubuhi kuwajulisha competitors kuwa bado yupo hai na bado anamiliki territory, Punda naye inategemea anabweka either ana njaa kiu au ana ugwadu wa kugegeda au kugegedwa.
 
Back
Top Bottom