Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 2,272
- 2,994
Unaposema muda muafaka unamaanisha nini? Maana navyoona Ukishasema muda muafaka, hapo tayari umeshakuja kwenye kipimo cha muda na wewe umesema muda muafaka kwavile tu unalinganisha kipimo cha muda na matukio ya wanyama. Kumbuka kabla ya kuwekwa kipimo cha muda watu walitumia jua tu kutofautisha nyakatiWale mliozaliwa masaki mkae msikilize tu!
Mwanangu asubuhi hii tukiwa njiani tunaelekea shule kaniuliza swali;
Ikiwa wanasayansi ndiyo waliotuletea Massa, (time zone-GMT) kwa kuweka sekunde,dakika hadi saa nzima kama tunavyosoma shule!
Je; kuku au punda walijuaje kuwika mda muafaka?
Kwa mliozaliwa mjini ni kwamba; Punda anaouwezo wa kuliaa/kubweka kila baada ya lisaaa limoja, na ukiangalia mda kwenye saa inakuwa kweli saa kamili!
Naombeni majibu yenu wadau; Maana dogo nimemwambia tutaongea jioni aniache kwanza asubuhi ninawahi kazini
View attachment 1219228