PostGE2025 Mwananchi: Nilizungumzia haki kuelekea uchaguzi Oktoba 29, ikaniletea shida kutafutwa hadi nyumbani kwa wazazi wangu, nikaenda uhamishoni wiki 3

PostGE2025 Mwananchi: Nilizungumzia haki kuelekea uchaguzi Oktoba 29, ikaniletea shida kutafutwa hadi nyumbani kwa wazazi wangu, nikaenda uhamishoni wiki 3

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Katika Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 unaoendelea leo Machi 18, 2026 Arusha kwenye ukumbi wa Centre house, kijana mmoja amehoji uwazi wa kuzungumza akielezea changamoto aliyopata kutafutwa baada ya kutoa kauli Oktoba 22, 2025 " Nilisema kuelekea uchaguzi mkuu inabidi tutende haki ili amani iendelee kuwepo, tusiendelee kuimba wimbo wa amani pasipo kutenda haki".

Anaeleza baada ya kutoa kauli hiyo clip ilisambaa mitandaoni hali iliyopelekea yeye kutafutwa sana kazini kwake, anaposhi hadi kwa wazazi wake na kumpelekea kwenda uhamishoni zaidi ya wiki tatu, baadaye ilimbidi akaripoti Polisi na kuhusihwa katika tuhuma za kuhamisha maandamano lakini aliponya kwa sababu alishiriki kwenye kupiga kura.

Amehoji "Kama tuna uwazi wa kuzungumza alafu baadaye tunakutana na changamoto, je tuendelee kuamini vijana wataendelea kuzumgumza kwa uwazi au watakua waoga?








 
Katika Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 unaoendelea leo Machi 18, 2026 Arusha kwenye ukumbi wa Centre house, kijana mmoja amehoji uwazi wa kuzungumza akielezea changamoto aliyopata kutafutwa baada ya kutoa kauli Oktoba 22, 2025 " Nilisema kuelekea uchaguzi mkuu inabidi tutende haki ili amani iendelee kuwepo, tusiendelee kuimba wimbo wa amani pasipo kutenda haki".

Anaeleza baada ya kutoa kauli hiyo clip ilisambaa mitandaoni hali iliyopelekea yeye kutafutwa sana kazini kwake, anaposhi hadi kwa wazazi wake na kumpelekea kwenda uhamishoni zaidi ya wiki tatu, baadaye ilimbidi akaripoti Polisi na kuhusihwa katika tuhuma za kuhamisha maandamano lakini aliponya kwa sababu alishiriki kwenye kupiga kura.

Amehoji "Kama tuna uwazi wa kuzungumza alafu baadaye tunakutana na changamoto, je tuendelee kuamini vijana wataendelea kuzumgumza kwa uwazi au watakua waoga?




Naona amewagusa, watakuja tena kimya kimya
 
Ana bahati anaendelea kupumua
 
Katika Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 unaoendelea leo Machi 18, 2026 Arusha kwenye ukumbi wa Centre house, kijana mmoja amehoji uwazi wa kuzungumza akielezea changamoto aliyopata kutafutwa baada ya kutoa kauli Oktoba 22, 2025 " Nilisema kuelekea uchaguzi mkuu inabidi tutende haki ili amani iendelee kuwepo, tusiendelee kuimba wimbo wa amani pasipo kutenda haki".

Anaeleza baada ya kutoa kauli hiyo clip ilisambaa mitandaoni hali iliyopelekea yeye kutafutwa sana kazini kwake, anaposhi hadi kwa wazazi wake na kumpelekea kwenda uhamishoni zaidi ya wiki tatu, baadaye ilimbidi akaripoti Polisi na kuhusihwa katika tuhuma za kuhamisha maandamano lakini aliponya kwa sababu alishiriki kwenye kupiga kura.

Amehoji "Kama tuna uwazi wa kuzungumza alafu baadaye tunakutana na changamoto, je tuendelee kuamini vijana wataendelea kuzumgumza kwa uwazi au watakua waoga?




Wanakupa uhuru wa kuongea lakini hawakuhakikishii uhuru wako baada ya kuongea, hii ni hatari sana.
 
Back
Top Bottom