Mwananchi: Msipotuhakikishia kama Polepole yupo hai na Mafwele kutojiuzulu, mnimalize na mimi

Mwananchi: Msipotuhakikishia kama Polepole yupo hai na Mafwele kutojiuzulu, mnimalize na mimi

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Kupitia video inayosambaa Mtandaoni inamuonyesha kijana akielezea kwa hasira tukio la kutekwa kwa Humphrey Polepole usiku wa kuamkia Oktoba 6, 2025, akidai kutaka kujua hali ya Polepole kama yupo hai pia kumtaka Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Faustine Mafwele ajiuzulu

Soma pia

 
Kupitia video inayosambaa Mtandaoni inamuonyesha kijana akielezea kwa hasira tukio la kutekwa kwa Humphrey Polepole akidai kutaka kujua hali ya Polepole kama yupo hai pia kumtaka Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Faustine Mafwele ajiuzulu

20251009_104851.jpg
 
Watekaji waongeze kikosi maana watu wamechoka
 
Naona hali ya hatar mbele, vyombo vya ulinzi na usalama viwe kwenye high alert kuna mambo sio ya kuyapuuza
 
Ni suala tu la muda kabla ya bomu kulipuka. Mwanadamu ana kiwango chake cha uvumilivu. Kikipita hicho kipimo, basi na yeye hugeuka na kuwa mnyama mkali wa mwituni.
 
Kupitia video inayosambaa Mtandaoni inamuonyesha kijana akielezea kwa hasira tukio la kutekwa kwa Humphrey Polepole usiku wa kuamkia Oktoba 6, 2025, akidai kutaka kujua hali ya Polepole kama yupo hai pia kumtaka Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Faustine Mafwele ajiuzulu

Soma pia

Unasubiri nini kufa? Kanunue sumu ya panya, dakika sifuri tunakusahau
 
Back
Top Bottom