muda si mrefu mwanamziki wa msondo ngoma josee maina amefariki dunia ndani ya daladala alikuwa akienda kurecord sinza.
Poleni ndugu wa marehemu pamoja na mashabiki wa msondo ngoma.
More news to come.
Ukisema waimbaji (nani na nani)wanne tayari washatoweka itakuwa siyo rejea nzuri kwani wako wengi sana ambao weshatangulia, kama kina Hayati Nico Zengekala na mambo ya solemba, n.k. Tafuta rejea nyingine