Mwanamuziki Stara Thomas mbona kimya ?

Mwanamuziki Stara Thomas mbona kimya ?

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,707
Reaction score
1,729
Sitanii huyu mdada ananikuna mno kwa umahiri wake katika muziki (sio fleva). Ni muda mrefu sasa sijamsikia na bahati mbaya si kipenzi cha waandishi wa habari za burudani hivo hasikiki kabisa. Jamani yuko wapi?
 
Sitanii huyu mdada ananikuna mno kwa umahiri wake katika muziki (sio fleva). Ni muda mrefu sasa sijamsikia na bahati mbaya si kipenzi cha waandishi wa habari za burudani hivo hasikiki kabisa. Jamani yuko wapi?

mmh anakukuna?
 
Msanii wako haeleweki banah,, mara aimbe bongo fleva mara aimbe gospel,, kakimbia gospel karudi tena bongo fleva?????
Bongo fleva!!!!!!!!! Huyu ni mahiri kwa mtindo wa 'zouk'.
 
huyo madam wako yuko directionless.... hata hajui anataka nini..
 
huyo madam wako yuko directionless.... hata hajui anataka nini..
Mkuu, dhumuni la kuwa mwanamuziki ni kuburudisha na kuelimisha wapenzi wako sijui unamaanisha nini hapo kwenye 'red'.
 
Kiukweli dada yangu huyu hivi sasa ni kama kachanganyikiwa hivi na muziki ni kama unamshinda sasa

Alilalamika bongo fleva. Hailipi akakimpilia gospel, kufika huko kitu cha kwanza tu kakimbila studio na kuanza kuomba kolabo na magwiji wa gospel akina Rose muhamdo Christina shushi Ben Mwaitege nk
Wakamchomolea kwa mantiki ya kwamba wanahitaji kumjua zaidi kafuata wokovu kweli au kaja tu kupiga hela kwenye gospel?

Basi alivyoona hivyo karudi tena kwenye media na kusema muziki wa gospel sasa basi sababu wasanii hawampi ushirikiano, kila akiomba kolabo wanamchomolea
Akarudi tena rasmi kwenye bongofleva ambayo kiukweli imekuwa ngumu kwake kukabili changamoto za wanachotaka wapenzi wa sasa wa muziki huo ambao vitorondo ndio habari ya mujini
 
Kiukweli dada yangu huyu hivi sasa ni kama kachanganyikiwa hivi na muziki ni kama unamshinda sasa

Alilalamika bongo fleva. Hailipi akakimpilia gospel, kufika huko kitu cha kwanza tu kakimbila studio na kuanza kuomba kolabo na magwiji wa gospel akina Rose muhamdo Christina shushi Ben Mwaitege nk
Wakamchomolea kwa mantiki ya kwamba wanahitaji kumjua zaidi kafuata wokovu kweli au kaja tu kupiga hela kwenye gospel?

Basi alivyoona hivyo karudi tena kwenye media na kusema muziki wa gospel sasa basi sababu wasanii hawampi ushirikiano, kila akiomba kolabo wanamchomolea
Akarudi tena rasmi kwenye bongofleva ambayo kiukweli imekuwa ngumu kwake kukabili changamoto za wanachotaka wapenzi wa sasa wa muziki huo ambao vitorondo ndio habari ya mujini
Lah! Inasikitisha mno. Kukata tamaa ni dhambi kubwa sana, namuombea kwa Mungu ampe ujasiri na arejee kwenye muziki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom