Mwanamme Heshimu mkeo/GF wako

Mwanamme Heshimu mkeo/GF wako

NIMPENDENANI

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
6,114
Reaction score
5,397
Habari Waungwana,

Kuna jambo limenikera sana, rafiki yangu bahati mbaya amechelewa kufika airport due to traffic.
ikabidi amepigie mumewe cm amuelezee kua amechelewa na ndege imemuacha,bwana yule
bila kutaka kujua amemtukana mkewe na kumwambia asuridi nyumbani yeye anamtegemea nyumbani baada ya 14days sio chini ya hapo na asijaribu kurudi nyumbani atakijua kilichomtoa
kanga manyoya.

Imebidi anieleze yalio jiri nikamwambia njoo nyumbani kwanza halafu tutaongea na mumeo huenda hasira tuu na stress za kazi, shoga kafika nyumbani akampigia kua yupo kwangu jamaa
akaja nikajua anakuja kumchukua mkewe Looo bila aibu kaanza kumtukana tena mwanamme yule ana chamba kama kalelewa na mashoga hata staha hana na juu ya kichambo chote hicho
still kamuacha mwisho anamwambia tena usijishaue naoa karibuni.

sasa shogangu anasema anarudi kwao safari ya nje imeishia hapo anataka Talaka nimemwambia
nimapema sana ila wanaume wanaume wanaumeeeeeeeee sio vizuri kumtupia mkeo au G/F wako maneno kwa kosa dogo na mwanamme humuita mkewe kwa mahaba ukamuliza sababu
siokumtolea maneno wanaume tafadhali wenye tabia hii wacheni mnawaumiza moyo wenzenu.
 
Maskini. Kama namuona dada wa watu anavyohaha kusikia ndoa hamna na mume anaoa.

Hapo hakuna ndoa wala hakuna cha kusikitikia labda kuachwa na ndege tu.

Wanaume wengine ni headache. They are just frogs you gotta kiss before you get to your prince.
 
Tatizo huwa mnatumia hiyo mianya kwenda kwa wachuchu wenu wa pembeni.

Japo nakuunga mkono ila muda mwingine lazima mikwara iwepo.

Hivi do you think if a woman decides to cheat inabidi apande ndege?

Mpaka maandiko yanawaambia muishi nao kwa akili jua kwamba mwanamke sio mtu wa kumu underestimate.
 
Hivi do you think if a woman decides to cheat inabidi apande ndege?

Mpaka maandiko yanawaambia muishi nao kwa akili jua kwamba mwanamke sio mtu wa kumu underestimate.
Aage mchuchu kabla ya kupanda.

huyu kwa maelezo hajaenda mwenyewe kupanda kaambiwa na walipanga na mme.

sasa huko kuchelewa ndiko kuna maswali... Je aliondoka mapema nyumbani au ni ule uwanawake wa kumwambia kutoka ndani ya masaa unarudia toka uende toka uende.!!
 
Aage mchuchu kabla ya kupanda.

huyu kwa maelezo hajaenda mwenyewe kupanda kaambiwa na walipanga na mme.

sasa huko kuchelewa ndiko kuna maswali... Je aliondoka mapema nyumbani au ni ule uwanawake wa kumwambia kutoka ndani ya masaa unarudia toka uende toka uende.!!
Aje aongeze vi meat meat basi.
 
Back
Top Bottom