Nsam
JF-Expert Member
- Oct 25, 2018
- 212
- 290
Wakuu kuna jambo huwa linanipa utata, hasa hawa mabinti wanaopangisha.
Kiafrika, binti anayekaa kwao anaaminika sana wakati wa kuchumbiwa kuliko aliyepangisha.
Swali ni je, mwanamke anayefanya kazi karibu na nyumbani na panafikika ila wakati wote anang'ang'ana kupanga chumba akae mtaani, je huyo hajapoteza sifa za kuwa mke?
Kiafrika, binti anayekaa kwao anaaminika sana wakati wa kuchumbiwa kuliko aliyepangisha.
Swali ni je, mwanamke anayefanya kazi karibu na nyumbani na panafikika ila wakati wote anang'ang'ana kupanga chumba akae mtaani, je huyo hajapoteza sifa za kuwa mke?