wolfman Jr
New Member
- May 16, 2020
- 3
- 2
Habari wana jamvi wenzangu, poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale. Wengi wenu natumai mu wazima wa afya. Narudi tena kwa mara nyingine baada ya kutokufanikiwa mara ya kwanza
Naomba niende kwenye maada;
Nipo hapa kutafuta mwanamke ambae nitazaa nae mtoto bila ya kuwa kwenye ndoa (mahusiano ya kawaida tu).
Sipo tayari kuingia kwenye ndoa kwa mda huu labda baada ya miaka mitatu au minne hapo mbele. Umri wangu ni miaka 31, mjasiriamali.
Awe mwanamke aliekomaa kiakili
Umri kuanzia miaka 25 mpaka 35
Dini yoyote
Asiwe mweusi sanaaa
Mawasiliano ni kingkiki1193@gmail.com
Pia unaweza ukani DM
Naomba niende kwenye maada;
Nipo hapa kutafuta mwanamke ambae nitazaa nae mtoto bila ya kuwa kwenye ndoa (mahusiano ya kawaida tu).
Sipo tayari kuingia kwenye ndoa kwa mda huu labda baada ya miaka mitatu au minne hapo mbele. Umri wangu ni miaka 31, mjasiriamali.
Awe mwanamke aliekomaa kiakili
Umri kuanzia miaka 25 mpaka 35
Dini yoyote
Asiwe mweusi sanaaa
Mawasiliano ni kingkiki1193@gmail.com
Pia unaweza ukani DM