Ni tabia tu ya mtu. Kuna mmoja alikua waziri kabisa ila kitu alimfanya mumewe.... tena profesa naskiawapo vizur mm nmedumu nae miaka 4 xaxa na wala hatujawah hata Kugombana hizo ni tabia za m2 na co kabila
hebu acheni kuwasakama hawa mabeuty wa ki iraqw mimi nimedondokea huko huko.kama unaona ni warahisi njoo mtongoze wa kwangu!yupo hapa hapa jf.
AfroDenzi,please kuja pande hii,watu wanaleta ngebe hapa.hebu acheni kuwasakama hawa mabeuty wa ki iraqw mimi nimedondokea huko huko.kama unaona ni warahisi njoo mtongoze wa kwangu!yupo hapa hapa jf.
Teeehh teeehhh....!watu wataka watie mchanga kitumbuausinitie wazimu, next week naoa mmbulu
Teh teh watamu sana hao watoto..nimewahi date wawili..ila kuoa sikushauri wengi viburi sana!!hebu acheni kuwasakama hawa mabeuty wa ki iraqw mimi nimedondokea huko huko.kama unaona ni warahisi njoo mtongoze wa kwangu!yupo hapa hapa jf.