Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Mwanamke wa Kimasai Kooya Timan, kutoka Loliondo, ameingia na kutoa ushuhuda Banjul katika mkut ano wa Tume ya Haki za Binadamu ya Afrika (African Commission on Human and Peoples Rights) Banjul, Gambia. Ameelezea yaliyotokea akisema hata wanawake walibakwa.