Mwanamke Wa jf ananisumbua!

Huyo atakuwa mwanaume anataka umuoshee rungu. Mwanamke hawezi kusumbua muosha rungu.
 
Unanikumbusha enzi zangu natafuta umaarufu kwenye facebook nilikuwa na vijitabia kama vyako

Usijal ukikua utaacha
 
Ndo ukaamua kumuanika ili iweje

Sent using Jamii Forums mobile app



Kwani cha ajabu kitu gani mkuu mpaka umlete hapa jukwaani?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…