Hivi Kwani Zamani Wanawake mlivyokuwa mnaolewa 10 nyumba Moja Ilikuwa ni Nini...wanaume acheni kuhalalisha haramu....!!
ni kweli na ukiangalia sana,wanaume wengi hawapendi mwanaume anayejifanya anajua kila kitu,ndio maana wanaharakat wengi wa haya mambo ya haki sawa,wengi hawako kwenye ndoa wameshazinguana na wanaume zaoLakini mi nadhani haya mambo ya haki sawa pia ndio yanaweza kusababisha ongezeko la mishepuko kwasababu kwa upande mwingine hadi inafikia hadi majukumu ya mwanaume anashika mwanamke, ya mwanamke anashika mwanaume matokeo yake tunazalisha Marioo, domestic violence, dharau, dhuruma, na Sugar daddy wa kutosha mitaani kisa kila mmoja anaweza kwa kuona haki sawa.
mnachepuka sana tatizoMMU bila story ya wanaume wachepukaji siku haijaisha....
kwan tunachepuka na majinmnachepuka sana tatizo
Mtu alkua na wake na michepuko kibao afu kawekwa kwenye biblia kama mtu wa kuiga mambo yake, kwanini tusisadiki ya mfalme Suleman?Tena role model wao mfalme Suleiman
ht km na binadamu...kwan tunachepuka na majin
Mimi mwenyewe ni mwanaume ia sipendagi hii dhana kuisikia eti michepuko ni desturi yetuwanaume acheni kuhalalisha haramu....!!
ht km na binadamu...
Bali unahamasisha wanawake kuwa wanaume wakichepuka waridhike kwa kuwa ni hulka ya kiume kuchepuka sio?Tanbihi: Sihamasishi wanaume kufanya hivyo, haifai.
Ulikuwa ni utamaduni wetu waafrika,hata babu yake mama yangu alikuwa na wake 10,watoto 70.Hivi Kwani Zamani Wanawake mlivyokuwa mnaolewa 10 nyumba Moja Ilikuwa ni Nini...
Hakuna heshima kwenye mapenzi. Hivyo ambavyo unaona huwezi kumfanyia kumbe ndo anavitaka. Na akivikosa atavitafuta hukooo anakojuaMoja kati ya sababu zinazopelekea wanaume kutafuta mpango wa kando, ni kutimiza haja zao nyingine kingono(fantasies). Binafsi kuna baadhi ya vitu ambavyo siwezi kufanya kwa mwanamke nayemjali, japo havina ukakasi kivile, felattio ni mfano. Juzi pia mshkaji wangu ananiambia hawezi "hit it from behind" kwa manzi anayempenda.
Kwa hiyo kimsingi, tunapotoka mara nyingine ni kwa sababu tunawajali na kuwaheshimu.
ONYO: SITAKI MASWALI TAFADHALI.
mada haihusu mapenzi nje ya ndoaUlikuwa ni utamaduni wetu waafrika,hata babu yake mama yangu alikuwa na wake 10,watoto 70.
Ujio wa foreigners na utamaduni wa mke mmoja na mume mmoja ndio umeleta hii ajabu ya mume kuwa na wake wengi..
Lakini yote kwa yote,hapa tunaongelea "michepuko"na sio wake walioolewa kihalali kwa dini au mila.
Ndo mana tunafanya hivo..imeandikwaMtu alkua na wake na michepuko kibao afu kawekwa kwenye biblia kama mtu wa kuiga mambo yake, kwanini tusisadiki ya mfalme Suleman?
Inawezekana hujui ulichokiandika.Kumekua na hulka ya akina dada, hasa wa kizazi cha leo, akina mama sio sana pindi anaposikia kuwa mume wake amechepuka ataanza kuhisi mambo mengi, kama kujitoa kasoro, au kufikiria nini mume wake amekosa kwake, je hana uzuri wa kumvutia mumewe?
Kuchepuka sio mapenzi nje ya ndoa?mada haihusu mapenzi nje ya ndoa
Uwe unasoma ulichoandika kabla ya kupost.Wanaume kuchepuka ni hulka yao tuu hasa nchi zetu za kiafrika, tena mara nyingi wengi huwa hawana sababu ya msingi ya kufanya hivyo