Maana ya jibu hilo ni kwamba ameku puuza aiseeee...
Tena hata nafuu angekujibu Hapana inathamani kuliko Asante
Unamtumia empty msg
Akikuambia hivyo wala huangaiki naye. Click 'report abuse' button tu. Au m-Cc Invizibo a-deal naye.
Kuna mtu alikua mbahili Sana WA kutext mtu sasa sku hiyo nikawa namkomalia na SMS akawa kimya nikamtumia msg empty nikamwambia haya mekutumia msg hiyo nijibu bas kupitia hiyo msg akajibu wallah nilicheka Sana sku hiyo (umenikumbusha hako ka kisa[/QUOTE) madame s, mi nadhani unajibu kumbe unaanzisha your story! Mi mdada nikimwambia flan .."I love u" akinijibu "ahsante" zaman wakati sina pesa ?ilikuwa napanic...ilinitokeaga nikiwa field moja kule kigoma-kibondo, kuna nurse wa chuo flan nikamtokea akanijibu ivo..ma?na anakukata stimu balaa...nowadays kuepuka majibu ya hivo, siwaambiagi nakupenda, namwaga pumba,,utashangaa ndege anadonoa..hadi anashangaa shughuli isha isha..ki uanafunzi ukiendelea kutongoza ..hayo majibu utaendelea kupata tu..BUT mpaka now nikikumbuka hayo majibu na nuna sana..
pumba gani mkuu
Maana ya jibu hilo ni kwamba ameku puuza aiseeee...
Tena hata nafuu angekujibu Hapana inathamani kuliko Asante
Haiwezekani umtamkie neno nakupenda mwanamke out of nowhea esp kama ndio kwanza upo stage za kwanza za kuanza kuchombeza tena kwenye simu aisee hata mimi nakujibu ahsante hapo it's either huna chako u r wasting ur time au umebugi tu gia za kumuingia halafu napata mashaka maana nimemjibu mtu hivo juzi sijui ndio wewe Mr Lyon :what:
Habari za jioni ma gwiji,
Hivi mwanamke unapomwambia nakupenda akakujibu ahsante, inakua ina maanisha nini sababu kuna ndugu yenu ambae anaweza kua mimi kajibiwa hivyo kwenye text kaishiwa pozi hapa.
What is he supposed to text next?