sportstore
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 454
- 1,609
Haya mambo nilikuwa nayasikia sana kwenye media kuwa watu wanaenda kupima DNA na kukuta watoto sio wao ila sasa naona live.
It's true, story ya watu niliowaona na kuwafahamu. Story yenyewe ni kwamba; kuna mwanaume ana mke wake wa ndoa, sasa amechepuka nje ya ndoa na kuzaa na mke wa mtu mtoto mmoja na kwa taarifa sahihi kabisa huyo mume anayegongewa mke hajui kabisa kuwa huyo mtoto anayelea sio wake! Hwanaume anayekula mke wa mtu anajua kabisa mtoto huyo ni wake.
Sasa swali langu ni kuwa, huyo mwanamke anajihisi vipi ndani ya nafsi yake anapotunza siri hiyo?
Je, nafsi yake haimsuti au huwa roho yake ikoje?
It's true, story ya watu niliowaona na kuwafahamu. Story yenyewe ni kwamba; kuna mwanaume ana mke wake wa ndoa, sasa amechepuka nje ya ndoa na kuzaa na mke wa mtu mtoto mmoja na kwa taarifa sahihi kabisa huyo mume anayegongewa mke hajui kabisa kuwa huyo mtoto anayelea sio wake! Hwanaume anayekula mke wa mtu anajua kabisa mtoto huyo ni wake.
Sasa swali langu ni kuwa, huyo mwanamke anajihisi vipi ndani ya nafsi yake anapotunza siri hiyo?
Je, nafsi yake haimsuti au huwa roho yake ikoje?