Mwanamke ukitaka kuniibia vaa shanga.

Mwanamke ukitaka kuniibia vaa shanga.

nimekumbuka mbali sana, kuna shoga angu ana vaa hizo vitu, huwa namuuliza ukivaa hizo vitu mpenzi wako anakuchukuliaje? Akanijibu wanaume wanapenda balaa! Weee mvalie xxxxx wako uone! nikamwambia vua moja unipe akanipa,

nami nikamvalia xxxxx weeee ile kuiona umeaza lini mambo hayo nani kakwambia itaongeza upendo doooh! Akaivuta akaikata huko, mie doooooh umeikata shaga ya xxxxx.
 
nimekumbuka mbali sana, kuna shoga angu ana vaa hizo vitu, huwa namuuliza ukivaa hizo vitu mpenzi wako anakuchukuliaje? Akanijibu wanaume wanapenda balaa! Weee mvalie xxxxx wako uone! nikamwambia vua moja unipe akanipa,

nami nikamvalia xxxxx weeee ile kuiona umeaza lini mambo hayo nani kakwambia itaongeza upendo doooh! Akaivuta akaikata huko, mie doooooh umeikata shaga ya xxxxx.
Hahahahahaha pole ukaingia gharama ya kwenda kununua kumlipa mtu shanga yake
 
nimekumbuka mbali sana, kuna shoga angu ana vaa hizo vitu, huwa namuuliza ukivaa hizo vitu mpenzi wako anakuchukuliaje? Akanijibu wanaume wanapenda balaa! Weee mvalie xxxxx wako uone! nikamwambia vua moja unipe akanipa,

nami nikamvalia xxxxx weeee ile kuiona umeaza lini mambo hayo nani kakwambia itaongeza upendo doooh! Akaivuta akaikata huko, mie doooooh umeikata shaga ya xxxxx.
Tatizo la kuwa na mahusiano na watu wa international school nivalie Mimi mtoto wa Namtumbo.
 
Nikionaga mwanamke amevaa shanga huwa namuona mtaalamu na mtamu sana chumbani.

Na anajua kukata mauno na yupo romantiki sana. Nikiona shanga hata mnara unasoma.
Balaa lake sio la kitoto penzi linakuwa hatari fire
 
nimekumbuka mbali sana, kuna shoga angu ana vaa hizo vitu, huwa namuuliza ukivaa hizo vitu mpenzi wako anakuchukuliaje? Akanijibu wanaume wanapenda balaa! Weee mvalie xxxxx wako uone! nikamwambia vua moja unipe akanipa,

nami nikamvalia xxxxx weeee ile kuiona umeaza lini mambo hayo nani kakwambia itaongeza upendo doooh! Akaivuta akaikata huko, mie doooooh umeikata shaga ya xxxxx.

Huyu jamaa alikosea sana, tunaweza sema ushamba au lah..!

Hizo mambo zina raha yake hasa mvaaji akiwa na mahaga yake ya kutosha.
 
Ni ujinga na nyege za kitoto tu zinakusumbua. Wanawake wavaa shanga kiunoni ni makahaba wanaoiba wanaume kwa dawa za nguvu za giza kupitia shanga wazivaazo kiunoni.
Uhusiano wa shanga na uchawi ni nini? Kahaba na demu wa kawaida nani ni fundi kitandani? Unachotakiwa kujua shanga ni utamaduni Ila nyinyi watu wa digital mnageuza kila kitu cha utamaduni ni uchawi.
 
Nikionaga tu mwanamke kavaa bracelet ya shanga, basi huko kwingine ziko za kutosha..!
 
Back
Top Bottom