Mwanamke subiri uvuliwe, usivue mwenyewe

Mwanamke subiri uvuliwe, usivue mwenyewe

Khe kheeee kheeeeeeee umenikumbusha uzi wa yule mume aliyekuwa akiiba chupi chafu za mkewe na kuziweka kwenye briefcase. Njia nzima huku akiendesha gari kuelekea kazini, kila apatapo nafasi alikuwa akinusa picchu za mkewe. Mkewe alilalama sana kwamba kuna mtu anamuibia picchu zake na kumdhania ni beki tatu. Baadaye mume akaanza kuiba na picchu chafu za beki tatu aisee humu kuna vituko sana lol! Hahahahahaha.
Aarrrrr! Mmmphtu.
 
Weee, acha aendelee kuigiza maana sio kwa raha hizii
 
Wengine wanapenda wakuone ulivoumbika... So ukivua nguo na kujigeuzageuza mbele yake kitu Kinakuwa nyuzi 180...hahahaaa
Isimu umeongea point ya jopo la wanazuoni wa havard. Unatumia kinywaji gani mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom