MWANAMKE SIKILIZA!!!

MWANAMKE SIKILIZA!!!

Sidhani kama hapewi maana kama ni darasa la ndoa wote wanapata, huenda chengamoto ni hapo kwenye kuzingatia.
Sijawahi bahatisha kuona ama kusikia hilo! Ila kama wanapewa kweli inatakiwa msisitizo zaidi! Ndoa za miaka hii ni changamoto mno, sio kwa mwanamke wala mwanaume!
 
Sijawahi bahatisha kuona ama kusikia hilo! Ila kama wanapewa kweli inatakiwa msisitizo zaidi! Ndoa za miaka hii ni changamoto mno, sio kwa mwanamke wala mwanaume!
Maisha ya kuviziana, huenda somo limebadilika siku hizi...badala ya "KAMTUNZE NAE ATAKUTUNZA" imekuwa "KAMUIBIE KABLA HAJAKUACHA UCHUME CHUME"
 
Maisha ya kuviziana, huenda somo limebadilika siku hizi...badala ya "KAMTUNZE NAE ATAKUTUNZA" imekuwa "KAMUIBIE KABLA HAJAKUACHA UCHUME CHUME"
Slogan ni hiyo hiyo "KAMTUNZE NAYE ATAKUTUNZA" ila tu inapotokea unamtunza mtu halafu yeye hakutunzi kwa kweli na wewe moyo wa kuendelea kumtunza unakufa kabisa halafu ukimuuliza kwanini na yeye hakutunzi anakujibu eti ufanye bila kutegemea malipo

Ukiangalia yeye kufanya bila kutegemea malipo hawezi haki ya nani vile wanawake wanaoweza kuishi na wanaume wa aina hiyo nawapa pole kubwa mno mapenzi ni nipe nikupe, toa pokea tofauti na hapo hayo siyo mapenzi ni ufisadi wa kihisia
 
Kwa hilo sawa, na ndio maana ya kukumbushana na kuelimishana.
Slogan ni hiyo hiyo "KAMTUNZE NAYE ATAKUTUNZA" ila tu inapotokea unamtunza mtu halafu yeye hakutunzi kwa kweli na wewe moyo wa kuendelea kumtunza unakufa kabisa halafu ukimuuliza kwanini na yeye hakutunzi anakujibu eti ufanye bila kutegemea malipo

Ukiangalia yeye kufanya bila kutegemea malipo hawezi haki ya nani vile wanawake wanaoweza kuishi na wanaume wa aina hiyo nawapa pole kubwa mno mapenzi ni nipe nikupe, toa pokea tofauti na hapo hayo siyo mapenzi ni ufisadi wa kihisia
 
Hahahaa rangi yako halisi..maana hizo sifa hapo juu upo kinyume chake
Hivi wewe unatamani sana kunijua mimi ni mtu wa aina gani eti?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maana naona unavyohangaika kukisia jinsi nilivyo kutokana na hoja zangu, sasa wacha nikuache uendelee kukisia tu hivyo hivyo na siku nyingine ukikuta nimejibu kwenye uzi mwingine kuwa mimi ni mwanaume napo utaamini tu

Wewe endelea kukariri tu watu kama nyie mnaotaka kujua maisha ya watu msiowajua mitandaoni dawa yenu ni kuwachanganya tu huku naandika hiki kule naandika kile halafu mchague wenyewe muamini kipi muache kipi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii ndiyo jamii forums bwana ukisikia nyingine photocopy
 
Anakusikiliza kwa makini hapo ngoja atoe mkono shavuni sasa!
 
POKEA_SALAM_ZANGU.
.
1) Mwanamke Elimu Kazi Pesa na Mali zako haziwezi kukufanya uwe mke BORA katika ndoa yako bali ni heshima Kujali hekima na busara zako kwa Mumeo.
.
2) Mwanamke anae muheshimu na kumskiliza mmewe ni mwanamke bora ambae kila mwanaume angetamani kuwa nae.
.
3) Tabia yako na misimamo yako ndio itakayomfanya mumeo ajute au afurahie kukuoa wewe.
.
4) Kuwa mke bora inakubidi uwe vizuri katika kutawala hasira Mdomo na maamuzi yako na sio kulipiza visasi.
.
5) Kuwa kiongozi huko kazini kwako ni jambo Jema ila kuwa mke mnyenyekevu nyumbani kwenye Ndoa yako hiyo ni jambo Jema zaidi.
.
6) Usiweke mashindano na mumeo, mpe hongera na mtie moyo kwa kila hatua anayopiga katika maisha sio Umdharau kwakuwa Umempita Vingi.
.
7) Kuwa na ubinadamu, sio kosa lake dogo tu unamsema vibaya Kwa Ujeuri wako wa Mali Elimu na Vyeo Vyako vya kazini hiyo haipendezi atajiona yupo jeshini na sio Ndoani.
.
8) Kuwa mkarim katika maongezi mpaka huduma zingine jua kila mwanaume anamuheshimu mwanamke mkarimu na mwenye huruma.
.
9) Usijaribu kumpa Adhabu mumeo mara kwa mara hasa ya kumnyima chakula cha Kitandani , hii itamlazimu kutafuta chakula nje ya ndoa yaani kwa Mama_Ntilie ([emoji23][emoji23] ).
.
10) Hakuna ubaya kama utakua unakubali kosa pale utakapo kosea.
Kuwa mrahisi kukubali kama kweli ulikosea.
.
Na omba radhi inapobidi na pia hakikisha haurudii tena kuvifanya anavyovichukia hii utamfundisha hata yeye Kuwa hivyo.
.
11) Jiandae kumsamehe mumeo pale anapokosea kwa maana mke atoae msamaha kwa mumewe ni mke mwema tofauti na yule aliejaa visasi chuki na kujiona.
.
12) Tengeneza maamuzi ya kuwa mke mwema, pasi na kuwa na hofu yoyote na Mungu atakubariki katika vile unavyomuomba.
.
13) Mke mwema hatafutwi kwa kuangaliwa Umbo Sura Miguu yani alivyojazia Bali mume mwema hutazama Tabia busara upole hekima upendo ili hata ukizeeka au kukatwa kiungo au kuumwa atazidi kukupenda tu Kwa sifa hizo.
.
14) Wewe ni mwanamke na yeye ni mwanaume basi huu utofauti usihusahau daima.
.
15) Alafu wewe mwanaume Mola kakujaalia mke anayejitambua basi na wewe uamke ujitambue na ushikamane nae jua mke mwema anataka Upendo zaidi kuliko Pesa na Mali zako.
.
.NB: picha inanogesha tu uzi!!!
.
CC: livewise1View attachment 1141096
yote nnayo.
 
Back
Top Bottom