Mwanamke nzuri huyu jamanii

Mwanamke nzuri huyu jamanii

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,708
Reaction score
8,746
Yani kama kachorwa.
IMG-20190822-WA0013.jpeg
 
Wanakuaga na bonge za mapango maana unakuta kashapita kwa watu 10 minimum wanapigwa sound sana na kuna muda wanapanua yaishe.
 
Wow... ni mzuri saana.

Kuna audio moja ya mkenya nilikuwa naisikiliza anasema..

Jamani Mungu wa ajabu saana oneni alipoweka utamu.
-kaweka utamu kwenye nanasi.
-kauweka utamu pia kwenye machungwa

-mwingine ndiyo huo kautupa kwa wamama.
Sikuimaliza niliishia kucheka saana...hapa naulizwa huo utamu wa wamama ndiyo upi...
 
Hakuna kitu mnaniudhihumu jf kusifia ujinga!

Tushawaambia: mwanamke hasifiwi uzuri nje ya mashindano ya urembo. Nje ya mashindano, kila mwanamke ni mzuri.

Kumsifia mwanamke kama bidhaa ni uzalilishaji usiomithilika.

Sasa huyo mzuri, wengine ni wababaya?
Uzuri wa mwanamke haupo specific.

Kama ni sura, kila amuangaliaye mwanamke, kunakitu anachovutiwa nacho, ndiyomaana ya kusema uzuri wa mwanamke umo machoni mwa ampendaye.

Kwa hiyo kila mwanamke ni mzuri na mrembo kuliko unavyodhania wewe.
 
Back
Top Bottom