Mwanamke ninayetembea nae lazima abebe

Mwanamke ninayetembea nae lazima abebe

justuce John

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2017
Posts
206
Reaction score
222
Mwanamke ninayetembea nae lazima abebe mimba, nahiyo mimba lazima atakuwa mtoto wakiume naka sio wakiume basi nimapacha wakike na wakiume, hili jambo limekuwa likiniumiza sana kichwa hadi naogopa kutongoza, naombeni ushauri ndugu zangu nifanye nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke ninayetembea nae lazima abebe mimba, nahiyo mimba lazima atakuwa mtoto wakiume naka sio wakiume basi nimapacha wakike na wakiume, hili jambo limekuwa likiniumiza sana kichwa hadi naogopa kutongoza, naombeni ushauri ndugu zangu nifanye nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nn huvai condom utakufa siku sio zako aisee dah!
 
Mwanamke ninayetembea nae lazima abebe mimba, nahiyo mimba lazima atakuwa mtoto wakiume naka sio wakiume basi nimapacha wakike na wakiume, hili jambo limekuwa likiniumiza sana kichwa hadi naogopa kutongoza, naombeni ushauri ndugu zangu nifanye nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
Usitembee nao bali kimbia nao.
 
Mwanamke ninayetembea nae lazima abebe mimba, nahiyo mimba lazima atakuwa mtoto wakiume naka sio wakiume basi nimapacha wakike na wakiume, hili jambo limekuwa likiniumiza sana kichwa hadi naogopa kutongoza, naombeni ushauri ndugu zangu nifanye nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
Utawapata Wengi humu kwahiyo Tecnique yako!!
 
Mwanamke ninayetembea nae lazima abebe mimba, nahiyo mimba lazima atakuwa mtoto wakiume naka sio wakiume basi nimapacha wakike na wakiume, hili jambo limekuwa likiniumiza sana kichwa hadi naogopa kutongoza, naombeni ushauri ndugu zangu nifanye nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
hadi sasa umetembea na wangapi na wanawake wangapi wamepata mimba, na wanangapi wamezaa na wangapi bado na una watoto wangapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom