Heshima kwa bimkubwa,mama wadogo,bibi uliyebaki ,heshima kwa mashangazi na mabinamu,heshima kwako dada la dada kipenzi,naheshima ziwaendee wamama,mabinti,na mabibi wote wadunia hii,Mungu awajaalie busara,uvumilivu na upendo na awaepushe na tamaa,usengenyaji na kuigaiga. Pia awajaaliye mupende nywele zenu za asili.
Sent using
Jamii Forums mobile app