young eagle
Member
- Jul 28, 2015
- 29
- 4
Habarini wanandugu woote wa humu ndani.
Mara nyingi nimesikia maneno haya ya vinywani mwa watu kuwa ukimpata mwanamke mzuri lazima uwe roho juu na lazima uumie kichwa mara kwa mara.
Na hii hutokana na kupendwa/ kutamaniwa na wanaume kibao, lakini pia eti wanawake wengi warembo hawajatulia na hata wakiingia kwenye ndoa ni wasumbufu na hawana muda wa kuitunza ndoa na wengi wao hawanyenyekei na kuomba msamaha hata wakijua kosa haya ni baadhi tu lakini yapo mambo kibao yasemwayo juu yawa wanawake warembo.
Vipi wewe mwana jamvi unaliongeleaje suala hili.
Naomba kuwasilisha nahitaji maoni yenu.
Mara nyingi nimesikia maneno haya ya vinywani mwa watu kuwa ukimpata mwanamke mzuri lazima uwe roho juu na lazima uumie kichwa mara kwa mara.
Na hii hutokana na kupendwa/ kutamaniwa na wanaume kibao, lakini pia eti wanawake wengi warembo hawajatulia na hata wakiingia kwenye ndoa ni wasumbufu na hawana muda wa kuitunza ndoa na wengi wao hawanyenyekei na kuomba msamaha hata wakijua kosa haya ni baadhi tu lakini yapo mambo kibao yasemwayo juu yawa wanawake warembo.
Vipi wewe mwana jamvi unaliongeleaje suala hili.
Naomba kuwasilisha nahitaji maoni yenu.