Mwanamke mzuri huyu hapa

Mwanamke mzuri huyu hapa

Innocent Kirumbuyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
4,642
Reaction score
4,476
Mwanamke mzuri ni yule aliye na vishawishi kwa mumewe mbele za Mungu.sio yule mwenye ushawishi mkubwa kwa mumewe kuhusu kutopitwa na fashion na mambo ya kidunia.kwani itamfaa nini mtu kupata kila kitu cha dunia na kukosa ufalme wa Mungu?

Ninyi mliokutana na kupendana kwa jina la Bwana hakika hakuna binadamu awezae kuwagombanisha mkisimama katika imani. Kwani Bwana alisema "wakutanapo wawili kwa jina langu,basi mimi ni kati kati yao" Maana ya upendo katika Bwana ni nini?

Pale mmoja anaposhindwa na majaribu na kuanguka,mwingine awe tayari kwa kufunga na kuomba kwa ajili ya mwenzie.Hapo ndipo mtakapojua nini maana ya Mungu asiyeshindwa na kitu.
 
I swear , mimi mwanamke asosali wala kua nahofu na Mungu.

Huyo ni wakusogezea siku tuuu lkn kuoa ? Weee lazima awe mcha Mungu.

Niivo kwasababu tu Mwanamke ndo mlezi wafamilia, mwanamke ndo ataamua tabia za watoto ziweje,, sasa eti nije nibebane namtu atakayefanya wanangu wawe na akili za kishetan, mtoto anamiaka mitano anajua kila aina ya pombe??? .

Hapana!!! Never !! ...... Watanisamehe tu ,kusogeza siku niruksa lkn kuanzisha familia NISHARITI AWE VILE NINAVYOTAKA KINYUME NAHAPO AJIOE MWENYWE AU ASUBIRI CHAPOMBE MWENZAKE AMUOE .....veri simpo tuu
 
I swear , mimi mwanamke asosali wala kua nahofu na Mungu.

Huyo ni wakusogezea siku tuuu lkn kuoa ? Weee lazima awe mcha Mungu.

Niivo kwasababu tu Mwanamke ndo mlezi wafamilia, mwanamke ndo ataamua tabia za watoto ziweje,, sasa eti nije nibebane namtu atakayefanya wanangu wawe na akili za kishetan, mtoto anamiaka mitano anajua kila aina ya pombe??? .

Hapana!!! Never !! ...... Watanisamehe tu ,kusogeza siku niruksa lkn kuanzisha familia NISHARITI AWE VILE NINAVYOTAKA KINYUME NAHAPO AJIOE MWENYWE AU ASUBIRI CHAPOMBE MWENZAKE AMUOE .....veri simpo tuu
Hongera mkuu
 
mwanamke mzuri ni mwenye sura nzuri bc
 
I swear , mimi mwanamke asosali wala kua nahofu na Mungu.

Huyo ni wakusogezea siku tuuu lkn kuoa ? Weee lazima awe mcha Mungu.

Niivo kwasababu tu Mwanamke ndo mlezi wafamilia, mwanamke ndo ataamua tabia za watoto ziweje,, sasa eti nije nibebane namtu atakayefanya wanangu wawe na akili za kishetan, mtoto anamiaka mitano anajua kila aina ya pombe??? .

Hapana!!! Never !! ...... Watanisamehe tu ,kusogeza siku niruksa lkn kuanzisha familia NISHARITI AWE VILE NINAVYOTAKA KINYUME NAHAPO AJIOE MWENYWE AU ASUBIRI CHAPOMBE MWENZAKE AMUOE .....veri simpo tuu
Mkuu na wewe unasali na una hofu ya Mungu? Maana kila mwanaume anapenda mke anayesali...

Ila wanaume wengi wana mioyo migumu...kuamini...hawapendi kusali..
 
Mkuu na wewe unasali na una hofu ya Mungu? Maana kila mwanaume anapenda mke anayesali...

Ila wanaume wengi wana mioyo migumu...kuamini...hawapendi kusali..
Acha uongo siyo kila mwanaume anapenda mwanamke anaye sali futa kwanza hiyo kauli tuende sawa
 
Maneno yangu siyo sheria...unaweza ukafuta kimyakimya...
Sawa mkuu ngoja nikuambia siku hizi wanaume wanachokipenda ni makalio makubwa na sura nzuri basi ukiwa na hivyo vigezo ata ukiwa ni mtoto wa shetani lazima upate mume kwasababu ndio wengi wanaume wanaopenda hivyo vigezo
 
Back
Top Bottom