iron woman
Senior Member
- Apr 22, 2013
- 147
- 19
Habari!
Naomba kuuliza, eti mwanamke ambaye hana kizazi anaweza kupata menstrual period, akableed?
Naomba kuuliza, eti mwanamke ambaye hana kizazi anaweza kupata menstrual period, akableed?
lugha la kusema hana kizazi mara nyingi humaanisha hana mfuko wa uzazi/uterus, sasa kama ndio hivyi basi uwezekano wa kupata menstruation upo kabisa ila sasa content ya vile vinavyotoka ndio itatofautiana kidogo na mtu aliye na kizazi.