nadiegirlie
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 573
- 850
- Thread starter
-
- #41
We huna bwana khaWrite your reply...dah Nina tatizo kubwa sana la aibu japo mie sio mwanamke yani naona aibu hata kukoment hapa yan hata nikijamba mwenyewe najionea aibu embu njoo pm unipeushaur watu wasiuone
NimekusikiaJitahidi uwe unatumia lugha moja italeta mvuto zaidi katika hadithi zako
We huna aibu bwana kha
We huna bwana kha
Kuna mtu anataka amuache eti kisa ana aibuMe ninae manzi mwenye aibu had bas ila mwanzon nilijua ni mwanzo tu kumbe ni kawaida yake
Kabisa yaniHe!! Yaani mpenzi anaachwa kisa ana aibu! Huu ni uonevu sasa, kha!!!!
Huna kabisa weweKweli embu nisaidie mtoto wa mwanamke mwezio
Huyo bado hajamsoma vyema dem ake ila kama amempenda asimuache kisa aibuKuna mtu anataka amuache eti kisa ana aibu
mwingine ana aibu alafu hana ushirikiano, bora awe na aibu lakini ushirikiano uwepo.He!! Yaani mpenzi anaachwa kisa ana aibu! Huu ni uonevu sasa, kha!!!!
Kama kweli anataka kumuacha mpenzi wake kwa sababu ya aibu, naamini kabisa hakumpenda kwa dhati.Kuna mtu anataka amuache eti kisa ana aibu
nimeshangaa kweli arams unawezaje kumuacha mtu because of aibuKama kweli anataka kumuacha mpenzi wake kwa sababu ya aibu, naamini kabisa hakumpenda kwa dhati.
Kuna alilolitafuta na kalipata sasa anatafuta sababu.
Kwa sababu unapoamua kumpenda mtu haimaanishi kwamba hana mapungufu isipokuwa uwe teari kuwa mvumilivu.
Sifa moja wapo ya upendo ni kufunika makosa ( sasa kwa aibu sidhani, hapo kuna mengine ).
NakaziaSi uandike kiswahili ama kiingereza..
Mkumbavu kabisa..
hahahhaahhahaaSi uandike kiswahili ama kiingereza..
Mkumbavu kabisa..
Tena uonevu uliopitilizaHe!! Yaani mpenzi anaachwa kisa ana aibu! Huu ni uonevu sasa, kha!!!!
Pm Ina nihusuHama kweli wew ni mwanamke mwenye ujasir ubalikiwe kwa hilo
haahahahNaona unaji pigia upatu ..biashara iki nyooka usi sahau kuleta majibu[emoji41]
Jamani nimepita humu somewhere nimekuta a guy analalamika he has a very shy type of girl.....now guys wenye hiyo type of girl be patient with them Mimi ni hiyo type ya girl Kama sujakuzoea ila nikikuzoea basi people always say to my friends why is she so shy..... So quite and their answers is always SHE IS NOT jaman mungu katuumba tofauti wengine tuna aibu na wakimya kwa watu ambao hatujawazoea Sana hiyo siyo sababu ya kuachana na mpenzi wako