Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,798
bahat iliyoje hii
shem si umwambie pia we ni mama kijacho... au hiyo itakua supriz!!!
bahat iliyoje hii
shem si umwambie pia we ni mama kijacho... au hiyo itakua supriz!!!
Shem nawe vunga utanipeperushia ndege wangu bure hiyo inakua suprise yaani
Hahha hajaona banah ata usijar....
Halaf shoga angu umemfanyaje mana siku hizi huku simuoni au umempiga stop
tupo busy tunatafuta mtoto... akifanikisha atarudi tu, mpe miezi tisa hivi!!!
wow.... Mafikizolo habar mpya hii kwangu hebu uje uthibitishe hili kwanza mana dah mie najifungua sooooon niweze kukuchangia nepi
Hhahahha habari zakweli hizo mama yaani andaa kuku wa soup maana soon tu leba ileee naiona
Natafuta mwanamke Muislam wa kuanza nae uchumba,Mimi ni kijana mwenye umri 22,nafanyakazi serikalini na sina mtoto.
Sifa za ninae muhitaji:
-Awe Muislam.
-Awe ajazaa.
-Umri 18-22.
-Elimu kuanzia IV na kuendelea.
-Awe ameajiriwa au amejiajiri zingatio please
Awe mcha Mungu.
-kabila lolote
Mwenye hizo sifa anaweza akantafuta kupitia mawasiliano haya hapa.
ismailymahmoud@gmail.com
Asanteni.
Unatumia vifuniko kutafuta mchumba utakutana na dada zako humu